A. Matokeo ya Awali kama yalivyo kwenye kiambatanisho E cha Mkataba
Output 3.4: Increased awareness of 16,275 community members living in the Eight wards of Tanga District on the 2000 national women and Gender Development policy by August 2010
VIONGOZI NA WANACHAMA KUWA NA UWELEWA JUU YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA ASASI,MIRADI,UANDAAJI WA MPANGO MKAKATI, USIMAMIZI, UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU ZA FEDHA NA KUWEZA KUTENGENEZA MPANGO MKAKATI NA MUONGOZO WA FEDHA WA JUMUIYA..
•Mafunzo ya namna ya kushiriki na kufuatilia matumizi ya fedha za umma na rasilimali nyingine katika sekta ya elimu yametolewa kwa kamati za maendeleo za shule kwa kata 22 za wilaya 2
1. KUONGEZEKA KWA IDADI YA WANAFUNZI WANAOANDIKISHWA , KUMALIZA ELIMU YA MSINGI NA MAHUDHURIO BORA DARASANI.
2. UELEWA WA JAMII JUU YA KUANDIKISHA WATOTO UMEONGEZEKA.
3. KUONGEZEKA KWA USHIRIKI WA JAMII KATIKA KUSIMAMIA UANDIKISHWAJI NA KUHIMIZA MAHUDHURIO YA LAZIMA
2. UELEWA WA JAMII JUU YA KUANDIKISHA WATOTO UMEONGEZEKA.
3. KUONGEZEKA KWA USHIRIKI WA JAMII KATIKA KUSIMAMIA UANDIKISHWAJI NA KUHIMIZA MAHUDHURIO YA LAZIMA
1. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Project Management Guidelines
2. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Provison of Financial Management Systems
3. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Skills on Strategic Planning and Documentation
4. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Social Counselling Skills
5. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Laws Relatet to operations of NGOs
6. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Procurements Regulations and Procedures
2. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Provison of Financial Management Systems
3. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Skills on Strategic Planning and Documentation
4. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Social Counselling Skills
5. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Laws Relatet to operations of NGOs
6. 5 Leaders and 15 Members to acquire knowledge on Procurements Regulations and Procedures
kuongezeka kwa matumizi na usimaizi wa fedha na Asasi ina kanuni,mwongozo wa fedha na kumbukumbu za fedha zinaandaliwa kwa wakati na kutunzwa kwa usahihi
Kila kiongozi wa asasi anajua wajua wajibu wake na mipaka yake kiutendaji na maamuzi miongozo ya uendeshaji wa Asasi imeandaliwa na inajulikana na wote
Kuongezeka kwa uelewa juu ya uandaaji,uibuaji na usimamizi mzuri wa miradi ya asasi na asasi inaandaa na kutekelezamiradi kwa ufanisi.
Asasi imeongeza ufanisi na kazi za asasi zinatambuliwa katika ngazi ya kata tarafa hadi wilaya.
Kila kiongozi wa asasi anajua wajua wajibu wake na mipaka yake kiutendaji na maamuzi miongozo ya uendeshaji wa Asasi imeandaliwa na inajulikana na wote
Kuongezeka kwa uelewa juu ya uandaaji,uibuaji na usimamizi mzuri wa miradi ya asasi na asasi inaandaa na kutekelezamiradi kwa ufanisi.
Asasi imeongeza ufanisi na kazi za asasi zinatambuliwa katika ngazi ya kata tarafa hadi wilaya.
-Kuimarika kwa mfumo wa usimamizi wa fedha katika vikundi wilayani Bahi.
-Kuongezeka kwa uelewa wa wanamtandao katika kuandaa miradi.
-Kuongezeka kwa uelewa wa viongozi na wanachama juu ya uendeshaji wa asasi.
-Kuongezeka kwa uelewa wa wanamtandao katika kuandaa miradi.
-Kuongezeka kwa uelewa wa viongozi na wanachama juu ya uendeshaji wa asasi.
1.Increased skills and knowledge on SAM in 20 wards in Same and Mwanga districts
1.1.Walemavu wameanza kunufaika na fursa mbali mbali za kijamii zilizopo katika maeneo yao ifikapo june,2011
1.2 Jamii ya watu wenye ulemavu wameanza kushirikiana katika kupanga,kutekeleza na kufuatilia miradi ya maendeleo katika jamii ifikapo,2011
1.3 Kero na sauti za watu wenye ulemavu zimesikilizwa na kupatiwa ufumbuzi katika vyombo vya kutunga sheria na maamuzi
1.2 Jamii ya watu wenye ulemavu wameanza kushirikiana katika kupanga,kutekeleza na kufuatilia miradi ya maendeleo katika jamii ifikapo,2011
1.3 Kero na sauti za watu wenye ulemavu zimesikilizwa na kupatiwa ufumbuzi katika vyombo vya kutunga sheria na maamuzi
Mafunzo yamefanyika kwa viongozi 20 yameleta uelewa na kuwa na ufanisi katika utekelezaji
Viongozi,Wanachama,Watumishi na Wadau 25 wa asasi wamepata wamepata mafunzo ya staid za uandaaji wa Mpango Mkakati
Uelewa wa vijana kuhusu stadi za maisha na sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 miongoni mwa vijana 360 umeongezeka.
uelewa na uwezo wa viongozi katika uandaaji na usimamizi wa mradi
kuwepo kwa mifumo ya uongozi na usimamizi ulio wazi inayo wajibika ndani ya asasi.
kuimarika kwa uwezo wa usimamizi wa utunzaji wa fedha ndani ya asasi .
kuwepo kwa muongozo wa fedha na kanuni za fedha.
kuwepo kwa mifumo ya uongozi na usimamizi ulio wazi inayo wajibika ndani ya asasi.
kuimarika kwa uwezo wa usimamizi wa utunzaji wa fedha ndani ya asasi .
kuwepo kwa muongozo wa fedha na kanuni za fedha.
Wanachama na viongozi watakuza uelewa katika masuala ya utawala bora wa asasi; usimamizi wa fedha na kupata stadi za uandishi wa miradi
Uwezo waAZAKI katika kufuatiliamchakato wa matumizi ya fedha za ummaumeongezeka
To increase awareness and ability of members in financial management
.To increase knowledge on project planing and management
Availability of proper organization regulation and rules..
.To increase knowledge on project planing and management
Availability of proper organization regulation and rules..
Mradi umewezesha kufanyika kwa vipindi 22 vya muda wa nusu saa (dk. 30) kwa kila kipindi vilivyoshirikisha washiriki 88 kutoka katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma. Kila kipindi kilikuwa na washiriki wanne (4) walioshiriki moja kwa moja katika studio za Radio Kifimbo FM; ambapo wachangiaji wa nje ya studo 48 walipiga simu au kutuma SMS na kuchangia mada husika.
1.A good number of inhabitants knows the importance of environmental conservation
2.The number of people using energy serving stoves has increased.
2.The number of people using energy serving stoves has increased.
Increased participation of youth in Local Government Autholity planning process
« Rudi nyuma kwenye ripoti