Envaya

Foundation for Civil Society

FCS Narrative Report

A. Outputs as shown in appendix E. Key Performance Indicators in the contract

1. Six West District Admninstrators are Sensitized on Environmental Management by April 2011

2. One thirty five Community Leaders of West District in 29 Shehias are sensitized on Environmental Management by July 2011.

3. A total of 255 Community Members of West District in 29 Shehias are sensitized on Environmental Management by October 2011.
Increased Number of Districts Based water sectors reforms Coordination forums/Meetings put in place from 0- 2 by the end of December 2010

Increased number of trees Planted at the water source from the current 7,520- 30,250 by the end of May 2010

Reduced cases of water borne related diseases from the current cases of Cholera, diarrhea ,typhoid and dysentery of 102,242,154 and 372 to76,100,58, and 256 cases respectively by Dec. 2010

Increased number of Health and Sanitation ventilated improved pit latrines constructed by 60 By the end of December 2010

Increased number of Training of Trainers TOTs Trained On Water resources management and organizational financial management from the 0-50 by the end of June 2010
1. Wawakilishi 60 wa AZAKi toka wilaya Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi wamejengewa uwezo na uelewa wa maarifa, mbinu na stadi za kufanya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ifikapo Desemba, 2011.

2. Viongozi/watendaji 20 wa Halmashauri za Wilaya/Manispaa na wawakilishi 20 wa AZAKi toka Halmashauri za Wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi wamejadiliana, kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu kuhusu uandaaji, utekelezaji, usimamizi na tathmini za miradi na shughuli za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ifikapo Desemba, 2011.

3. Ushirikiano na mahusiano baina ya viongozi/watendaji wa Halmashauri 2 za wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi na wawakilishi wa AZAKi vimeimarika na kuboreka ifikapo Desemba, 2011.

4. Ushiriki wa walengwa/wadau katika ufuatiliaji wa maendeleo ya utekelezaji mradi umeongezeka na kuboreka katika wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindii ifikapo Desemba, 2011.
Viongozi pamoja na wanachama 37 na viongozi watatu wa serikali wamepatiwa mafunzo ya uendeshaji wa asasi kuhusu utawala bora.Usimamizi wa miradi na usimamizi wa fedha Asasi ina muongozo wa usimamizi wa fedha.
Training delivered and skills acquired.
Strategic plan developed.
Skill and knowledge on basic financial management and accounting is acquired.
Training on project proposal writing delivered and skill acquired.
Training on M&E conducted.
Quality proposal for fund designed and produced as part of knowledge utilization.
Basic skills on monitoring and evaluating of project acquired .
M&E tools developed
Viongozi 30 toka asasi wanachama wa UNGOKI wameongeza uelewa juu ya Rushwa na Madhara yake.
1.1 Kuongezeka kwa uwezo katika usimamizi na utunzaji wa fedha miongoni mwa viongozi na wanachama wa asasi
1.2 Kuongezeka kwa uelewa katika uandaaji nausimamizi wa miradi miongoni mwa wanachama wa SADEF
1.3 Kuwepo kwa kanuni na taratibu zilizo wazi za uendeshaji wa asasi.
1.4 Gharama za utawala na uendeshaji wa ofisi
KUIMARIKA KWA KAMATI ZA MAZINGIRA ZA VIJIJI 20 KATIKA KATA ZA KAENGESA , SANDULULA, MAMBWEKENYA .
Wanawake wa kata ya Lugarawa na Mundindi wanauelewa wa kutetea na kudai haki ya kumiliki ardhi
1. Kuongezeka kwa uwezo na uelewa wa Watu wenye ulemavu wapatao 36 wa kata 5 za Wilaya ya Lindi kuhusu Sera ya Taifa ya Watu wenye Ulemavu.

2. Kuimarika na kuboreka kwa ushiriki wa watu wenye ulemavu katika michakato ya Sera na maendeleo katika ngazi tofauti za jamii.

3. Kuongezeka kwa utambuzi, kudai, kulinda na kutetea haki za watu wenye ulemavu kushiriki katika michakato ya kisera na kimaendeleo katika jamii.
- Vipeperushi vilivyotafsiriwa kwa lugha rahisi vimeandaliwa na kusambazwa ili wananchi wengi zaidi waifahamu sera.

- Mikutano ya utetezi na ushawishi ngazi ya Kata/Wilaya imefanyika na mikakati juu ya ufuatiliaji wake imeandaliwa.
-

1.1Wanajamii wa kata za Dunda, Yombo, Zinga, Lugoba, Miono, Msata, Vigwaza, Mkange na Kibindu wamepata uelewa juu ya utawala bora ifikapo 2011.



1.2Wananchi wa kata za Dunda, Yombo,Zinga,Lugoba,Miono,Msata, Vigwaza,Mkange na Kibindu wameelimishwa juu ya utawala bora na uwajibikaji ifkapo 2011.


1.Uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kutunza na kusaidia watoto yatima na walio katika mazingira magumu
2.Ongezeko ya watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanao andikishwa shule na kujiunga na masomo ya sekondari
3.Jamii kuanzisha mfuko wa huduma za jamii.
Wanawake 93 na wanaume 57 wameweza kupata elimu juu ya utawala bora na haki za wanawake katika nyanja mbalimbali, na baada ya mafunzo hayo wanawake na wanaume hao wameanza kutoa elimu waliyoipata kwa jamii katika maeneo yao vijijini kwa kuzingatia mpango kazi walioupanga baada ya semina.
- Wananchi watapata fursa ya kupata mrejesho wa mambo mbalimbali yaliyokuwa yakiwatatiza
- Itakuwa fursa nyingine ya mwananchi kutoa maoni yao na kuuliza maswali juu ya mambo yanayowasibu
- Utakuwa ni mwanzo wa kujenga mazozea ya mikutano kama hiyo
1. Kupungua kwa Unyanyapaa kwa watu wanaoishi na VVU/ UKIMWI

2. Jamii kujitokerza kwa hiari kupima VVU

3. Jamii kuwa wazi zaidi kuhusu maambukizi ya VVU
1. Watoa huduma 64 wa ngazi ya jamii wa kata za wilaya ya Lindi wanatoa huduma kwa wagonjwa wa muda mrefu majumbani na watu waishio na VVU/UKIMWI.

2. Uelewa wa jamii kuhusu unyanyapaa na uwezo wa utunzaji wa watu waishio na VVU/UKIMWI umeongezeka.

3. Jamii ya kata 8 za; Rutamba, Nyengedi, Wailes, Msinjahili, Matopeni, Nachingwea, Mtama na Mingoyo zimewezeshwa kuandaa mkakati wa utoaji huduma kwa watu waishio na VVU/UKIMWI.

4. Uelewa wa wadau na jamii kuhusu athari za unyanyapaa kwa watu waishio na VVU/UKIMWI katika Manispaa ya Lindi na Lindi vijijini umeongezeka.

5. Mafanikio, mapungufu na changamoto za utekelezaji wa mradi vimebainika kuwekewa mikakati na kuboreka.
1. NUMBER OF SWEAT MEMBERS AND BOARD MEMBERS WHO PARTICIPATING IN PROPOSAL WRITING.
2. ORGANIZATION 5 YEAR STRATEGIC PLAN IN USE.
3. NUMBER OF PROJECT DEVELOPED BY SWEAT AND FUNDED.
4. SWEAT OFFICE WITH WORK FACILITIES.
5. IMPROVED PERFORMANCE OF SWEAT AFTER AQUIRING THE WORKING FACILITIES
Output 1.1
Strengthened Capacity of YODESO to undertake Budget Analysis, Tracking and Advocacy for increased budget transparency and accountability in Wete district by June 2011
Indicators for output 1.1:
1. Number of youths trained on budget analysis
2. Number of youths involved in budget tracking
3. Extent to which YODESO undertake budget analysis

Output 1.2
Budget analysis reports produced and widely shared to the general public
Indicators for output 1.2:
1. Number of copies produced and distributed

Output 1.3
18 target participants (YODESO members, staff, and 3 selected youth organizations’ staff) developed understanding of PET by February 2011
Indicators for output 1.3:
1. Number of people trained on PETS

Output 1.4
PET findings report and follow up report by June 2011
Indicators for output 1.4:
1. PET Reports prepared
2. YODESO quarterly execution reports prepared

Output 2.1
Increased awareness and commitment of Local Government Authority leaders in incorporating interests and aspiration of youths in local government plans and budgeting by December 2010.
Indicators for output 2.1:
1. Number of sensitization meetings convened
2. Number of youths involved in local government planning and budgeting process

Output 2.2
22 youth volunteers recruited and developed understanding on local government planning and budgeting process, structure, roles & responsibilities of L Government and youth mobilization skills by March 2011
Indicators for output 2.2:
1. Number of youths recruited
2. Number of youths involved in local government planning and budgeting processes

Output 2.3
30 youths are knowledgeable of the local government planning and budget process and ready to participate by April 2011
Indicators for output 2.3:
1. Participation of youths on local government planning
Organisational programs and strategy development reflecting on strategic issues developed and implemented by 2016.
« Previous questionNext question »

« Back to report