Respondent: | Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) |
---|---|
Time Submitted: | 15 Werurwe, 2011 at 17:19 EAT |
Introduction
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)
MED
Kuongeza Uelewa kwa Jamii juu ya Elimu, Demokrasia na Utawala Bora
MED/HE/RP/01/2010
Dates: 1 Aprili 2010 - 30 Novemba 2010 | Quarter(s): - |
Davis J. Makundi
S.L.P. 3388 Dodoma
Simu: 0784 813523/0759 815044/ 0718 362277
E-mail: makundi2001@yahoo.com
S.L.P. 3388 Dodoma
Simu: 0784 813523/0759 815044/ 0718 362277
E-mail: makundi2001@yahoo.com
Project Description
Governance and Accountability
Mradi unawawezesha wananchi wote kushiriki katika kufikisha ujumbe kwa Serikali kuhusiana na Uboreshaji wa Elimu, Demokrasia na Utawala Bora kupitia vipindi vya Radio.
(No Response)
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) |
Total | (No Response) | (No Response) |
Project Outputs and Activities
Mradi umewezesha kufanyika kwa vipindi 22 vya muda wa nusu saa (dk. 30) kwa kila kipindi vilivyoshirikisha washiriki 88 kutoka katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma. Kila kipindi kilikuwa na washiriki wanne (4) walioshiriki moja kwa moja katika studio za Radio Kifimbo FM; ambapo wachangiaji wa nje ya studo 48 walipiga simu au kutuma SMS na kuchangia mada husika.
Mradi ulitarajia kutekeleza shughuli ya kuendesha vipindi 13 vya radio.
Kwa kipindi chote cha utekelezaji wa Mradi; MED ilifanikiwa kuendesha vpindi 22 ambavyo ni ongezeko la vipindi (9) zaidi ya vile vilivyokubalika katika katika Mkataba.
Mkataba baina ya HakiElimu na Radio Kifimbo FM ulikuwa wa kufanyika kwa vipindi 13 tu. Kufuatia wananchi wengi kufurahishwa na mada za vipindi ambavyo MED ilikuwa ikiviendesha kwa uhisani wa HakiElimu; uongozi wa Radio Kifimbo ulikubali ombi la MED la kuendelea kushirikishwa kwenye studio za KFM ili kuendesha vipindi pale nafasi inapopatikana.
Kwa hali hiyo MED ilifanikiwa kupata nyongeza ya vipindi hivyo 9.
Kwa hali hiyo MED ilifanikiwa kupata nyongeza ya vipindi hivyo 9.
Jumla ya kiasi cha sh. 1,140,000/= (Milioni Moja na Elfu Tisini na Tano tu) kilitumika katika mradi huu kama ifuatavyo:-
1. Kuchangia gharama za Matangazo Studio Sh.390,000
2. Nauli za washiriki Sh.310,000
3. Gharama za kujikimu Sh.295,000
4.Gharama za Mawasiliano Sh. 50,000
5. Kuandaa taarifa na dharura Sh. 50,000
SH. 1,095,000/=
1. Kuchangia gharama za Matangazo Studio Sh.390,000
2. Nauli za washiriki Sh.310,000
3. Gharama za kujikimu Sh.295,000
4.Gharama za Mawasiliano Sh. 50,000
5. Kuandaa taarifa na dharura Sh. 50,000
SH. 1,095,000/=
Project Outcomes and Impact
Matokeo ya Kati ya Mradi yaliyopatikana katika mradi huu kama ilivyotarajiwa ni kama ifuatavyo:-
1. Zaidi ya wananchi 132 walishiriki na kuchangia mawazo yao katika vipindi vya mradi.
2. Mradi umewafikia zaidi ya wananchi 1200 katika kipindi cha utekelezaji wa mradi.
3. Ushiriki wa viongozi wa Serikali ulipatikana kwa washiriki 13 kati ya 88 wa studio.
4. Wananchi walikuwa huru kuchangia mawazo na kutoa ushauri bila woga.
1. Zaidi ya wananchi 132 walishiriki na kuchangia mawazo yao katika vipindi vya mradi.
2. Mradi umewafikia zaidi ya wananchi 1200 katika kipindi cha utekelezaji wa mradi.
3. Ushiriki wa viongozi wa Serikali ulipatikana kwa washiriki 13 kati ya 88 wa studio.
4. Wananchi walikuwa huru kuchangia mawazo na kutoa ushauri bila woga.
Baadhi ya mabadiliko yaliyoletwa na mradi ni pamoja naserikali kukubali kushiriki katika mada balimbali zilizokuwa zikitolewa na mradi huu.
Hamasa zaidi kwa wananchi kutaka kushiriki kwenye vipidi ambapo wengi walituma maombi kwa njia ya simu, e-mail au kufika moja kwa moja ofisini wakitaka kushirii na kuwasilisha masa zao.
Hamasa zaidi kwa wananchi kutaka kushiriki kwenye vipidi ambapo wengi walituma maombi kwa njia ya simu, e-mail au kufika moja kwa moja ofisini wakitaka kushirii na kuwasilisha masa zao.
Mchango wa wananchi uliongeza uwajibikaji kwa viongozi wa Serikali kutoka kwenye maeneo mbalimbali.
Uhuru na fursa walioipata wanachi wa kawaida katika kuelezea kero zao na kuchangia mawazo katika vipindi hivi ilisaidia kwa kasi mabadiliko hayo.
Lessons Learned
Explanation |
---|
Baadhi ya watumishi wa Serikali kuwa waoga katika kushiriki kuzungumzia masuala muhimu hasa yanayozihusu sekta wanazozifanyia kazi Mf. Elimu, Afya nk. |
Wananchi wengi wako tayari kujitokeza kuzungumzia kero mbalimbali zinazo wakabili katika maeneo yao ila bado hawajapata fursa hiyo kutokana na kutokuwepo kwa miradi ya kutosha kuwapa nafasi ya aina hiyo. |
Fursa zaidi zinahitajika ili kuwapa wananchi nafasi ya kuwasilisha mawazo yao kwa watunga sera. |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Kukosekana kwa rasilimali fedha za kutosha. | Kutafuta rasilimali fedha kutoka kwa wadau/wahisani mbalimbali. |
Kukosekana kwa elimu ya kutosha kwa wananchi katika kutetea haki zao za msingi. | Elimu zaidi inahitajika hasa kwa kuwahamasisha ili watambue kuwa kujitetea ni Haki yao ya Msingi. |
Uwezo mdogo wa MED katika kutafuta rasilimali fedha na watu kwa ajili ya kuongeza ufanisi ndani ya shirika. | Kuendelea kutafuta Rasilimali watu wa kujitolea katika kutatua tatizo lililopo. |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Halmashari ya Manispaa Dodoma, na Halmashauri za Wilaya za Bahi, Chamwino, Kondoa, Kongw, Kondoa na Mpwapwa | Baadhi ya watumishi wa Halmashauri hizo walikubali kushiriki kwenye shghuli za Mradi bila vikwazo. |
Asasi za Kiraia zilizopo Dodoma. | Zimeunga sana Mkono shughuli za MED. |
Wananchi wa Kawaida. | Wametoa changamoto kwa MED kujizatiti katika kuhakikisha inawafikia na kuyafikisha mawazo na ushauri wao katika vyombo vya habari ili yapatikane mabadiliko ya kweli. |
Future Plans
Activities Planned | 1st Month | 2nd Month | 3rd Month |
---|---|---|---|
Kuendelea kutafuta udhamini wa vipindi zaidi vya Radio katika Robo mwaka ya kwanza. . | Jan-Mach, 2011 | ||
Kuendelea na shughuli za vipindi vya radio katika robo ya pili hadi ya nne. | Apr - Des, 2011 | ||
Kuendelea kutafuta rasilimali fedha na watu. Robo ya 1 - 4 | Jan -Des 2011 | an -Des 2011 | an -Des 2011 |
MED kuendelea na mchakato wa kupata usajili | Jan - Apr, 2011 |
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Elderly | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Youth | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Other | Female | 120 | 600 |
Male | 172 | 860 | |
Total | 292 | 1460 |
Mradi ulifikia watu zaidi ya 1752 moja kwa moja pasipo kuchambua kama wako kwenye makundi maalum au la.
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya DCC | Des, 2010 | Utekelezaji wa mipango mbalimali ya Halmashauri | Ufuatiliaji wa karibu wa yale yaliyokuwa yamepangwa na kutekeleza au la. |
Warsha za Ufuatiliaji wa Rasilimali za Umma na Social Accountability Monitoring (SAM) | Mach 2011 | Mbinu za Ufuatiliaji wa PET na SAM katinga ngazi mbalimbali za jamii/serikali | Kujengewa uwezo wa kufanya SAM/PETS katika ngazi mbalimbali. |
Kushiriki wenye warsha ya Jukwaa la Katiba | Machi, 2011 | Namna ya kushiriki kwenye mchakato wa kuandika katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania | Kuhakikisha kuwa ushirikimkatika zoezi unakidhi malengo na sheria za nchi. |
Attachments
« Back to report