Fungua
Foundation for Civil Society

Foundation for Civil Society

Dar es Salaam, Tanzania

Shughuli gani zimepangwa kwa ajili ya Kipindi kijacho cha utoaji taarifa?

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
NOT/APPLICABLE
Not/Applicable
Not /applicable
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
MRADI WETU NI WA KIPINDI CHA MIEZI MITATU TU KWA HIVYO HATUTOKUWA NA SHUGHULI NYENGINE ZA KUFANYA ILA TUNATARAJIA KUOMBA RUZUKU ZAIDI KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MRADI MWENGINE.
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kuunda timu na kufanya mafunzo ya utafiti wa PETS. Washiriki 50 watapatiwa mafunzo na kushiriki katika kufanya PETS, na watapatikana toka eneo la mradi
AprilMayJune
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
KUTEMBELEA KATA ZOTE 5 KUONA UTEKELEZAJI WA MPANGO SHIRIKISHI, KUKUTANA WATENDAJI KUPATA MAONI YAO JUU YA MWITIKIO WA JAMII KUHUSU SUALA LA ELIMU.V
KUWA OFISINI NA KUANDIKA TAARIFA YA ZIARA ZA KATA HUSIKA.V
KUTEMBELEA SHULE ZILIZOKO KATIKA KATA HUSIKA ,KUKUTANA NA WALIMU NA KUJADILI KWA PAMOJA HALI YA UANDIKISHWAJI NA MAHUDHURIO KABLA NA BAADAYA UHAMASIHAJI NA MAFUNZOV
KUENDELEA KUKUTANA NA WADAU MBALIMBALI WALIOSHIRIKI KATIKA MRADI KUPATA MAONI YAO JUU YA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO WAKATI WA MAFUNZO NA NINI KIFANYIKE BAADAYE KATIKA KUBORESHA ELIMU WILAYANI LINDI.. VV
KUWA OFISINI KUANDAA TAARIFA,KUUNGANISHA NA KUTAFSRI TAKWIMU ZILIZOTOKA KATIKA KATA NA MASHULE NA MWISHO KUANDIKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MRADI NA KUSAMBAZA KWA WALENGWA NA WAHUSIKA WAKUU.VV
KUKUSANYA TAARIFA NA TAKWIMU MBALIMBALI KWA KUSHIRIKI MIKUTANO YA TATHMINI YA ELIMU KIWILAYA NA KIMKOA, KUTEMBELEA KATA ZINGINE KWA NIA YA KUTAMBUA KUKUTANA NA WATENDAJI NGAZI YA KATA, SERIKALI ZA VIJIJI, NA WANAJAMII KUIBUA NA KUTAFITI ZAIDI MAMBO YANAYOPELEKEA KUSHUKA KWA KIWANGO CHA ELIMU WILAYANI LINDI.V
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Survey and Mapping of the Area and Schools to be covered by the project Aug 2011
Identification of drop out school girls Aug 2011
Registration of drop-outs school girlsSept 2011
Training on the following subjects:-
(i) Healthy reproduction capacity builging for wards social comunity officers
(ii) HIV and HIV Counselling/and legal councelling
(iii) Formal Schooling/vovation traning
(iv) Vocational Training
(v) Capacity Builing of Community Health Officers
Oct 2011
Sponsoring of girls to formal and vocational training (To continue to the next quarter)Sept 2011Oct 2011
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Utekelezaji wa shughuli za mradi umeisha na mradi umefungwa, hivyo utoaji taarifa utategemea wadau kuuliza au kuhoji taarifa wanae ihitaji na sisi tupo tayari kujibu kwa kuitolea maelezo.
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Training on Social Accountability Monitoring in health sector1.To conduct SAM 1.Monitoring and evaluation,administration1.Monitoring and evaluation
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kuendelea kutoa elimu juu ya sera na haki za watu wa jamii yenye ulemavu katika kata sita nyingine za wilaya ya Kilosa ,ili kuweza kuwafikia watu wengi zaidiJuni,2011Julai,2011Agosti,2011
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kutoa elimu ya ujasiliamali na mazingiraElimu kwa wajasiliamaliElimu ya maziingiraElimu ya kuzuia maambukizi ya ukimwi na VVU
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Submit next proposal to the Foundation for Civil Society MAY 2011
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
1.)Kutengeneza majukwaa 12 ya vijana katika kata 12 za mradi Temeke.X
2.)Kufanya midahalo 4 ya kujadili changamoto na kuweka mikakati ya kutatua.X
3.)Kufanya ufuatliaji wa matokeo na kukusanya takwimu za matokeo katika kata 12 za mradi Manispaa ya Temeke.X
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
mradi wetu ulikua wa robo mmoja tu!
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
HAKUNA SHUGHULI NYINGINE ILIYOFADHILIWA NA THE FOUNDATION KATIKA ROBO IJAYO
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kuendesha mafunzo kwa wanachama 60 wa AZAKI juu ya PETSvvv
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kuendelea kutafuta udhamini wa vipindi zaidi vya Radio katika Robo mwaka ya kwanza. .Jan-Mach, 2011
Kuendelea na shughuli za vipindi vya radio katika robo ya pili hadi ya nne.Apr - Des, 2011
Kuendelea kutafuta rasilimali fedha na watu.
Robo ya 1 - 4
Jan -Des 2011an -Des 2011an -Des 2011
MED kuendelea na mchakato wa kupata usajiliJan - Apr, 2011
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
To run a workshop on the importance of tree planting and the use of energy serving stoves for Doma Wardxx
Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Election of Parliament leaders (Speaker, Depute Speaker and Parliament Secretary) in Mkinga Districtv
Election of Parliament leaders (Speaker, Depute Speaker and Parliament Secretary) in Korogwe Districtv
Election of Parliament leaders (Speaker, Depute Speaker and Parliament Secretary) in Lushoto Districtv
Election of Parliament leaders (Speaker, Depute Speaker and Parliament Secretary) in Muheza Districtv
« Swali lililotanguliaSwali lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti