Eleza kama asasi yako imewahi Kuhudhuria Shughuli zozote ambazo zimeandaliwa na The Foundation.
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Managing Your Grant Training | March 2008 | Financial books of accounts Project administration /management Plan of action Project Reporting Project reporting | Managing Finances Reporting |
Information session | June 2011 | Muheza , Foundation For Civil society Grant application writing | Project Reporting FCS Project design |
Annual Forum | June 2009 | Women/youth involvement in national election Transparency and accountability | Involving women in Decision making processes and especially on the Environmental management |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Matamasha ya AZAKi | 2009 na 2010 | Umuhimu wa kufanya kazi kwa umahiri na ubunifu mkubwa ili kupata ufanisi na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. | Kuhamasisha AZAKi kuwa wabunifu na kuchapa kazi kwa umahiri na ustadi mkubwa ili kupata mafanikio makubwa. |
Maonesho ya AZAKi Bungeni | 2006, 2007, 2008, 2009 | Umuhimu wa kufanya kazi karibu na wabunge ili kuwashawishi mabadiliko katika sera na sheria mbalimbali | Kuwashawishi baadhi ya wabunge kuwa karibu na AZAKi ili wasaidiwe katika kutambua na kukabiliana na changamoto za maendeleo katika majimbo yao. |
Mikutano ya Upashanaji habari za ruzuku toka FCS | 2005 na 2008 | Jinsi ya kuandaa na kuwasilisha maandiko miradi yenye sifa, vigezo na ubora unaohitajika na kukubalika na FCS na wadau wengine | Kuendeleza jitihada za FCS kujenga uwezo wa AZAKi changa juu ya uandishi wa miradi yenye ubora na vigezo stahili. |
Mkutano kuhusu Jukwaa la Katiba Tanzania | 2011 | Umuhimu wa kusoma Katiba ya Muungano na kuelewa marekebisho tofauti (14) yaliyokwisha kufanyika | Kuhamasisha AZAKi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uandaaji wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania |
Mafunzo ya Usimamizi wa Ruzuku (MYG) | 2009 | Maarifa, mbinu na stadi za kusimamia utekelezaji wa mradi na matumizi ya fedha za ruzuku kwa ufanisi. | Kutumia maarifa, mbinu na stadi zilizotolewa kusimamia utekelezaji wa mradi na matumizi ya fedha za ruzuku kiufanisi. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo ya siku 6 ya usimamizi wa ruzuku | Kuanzia Tarehe 27/6/2011 hadi tarehe 01/7/2011 | Usimamizi wa miradi,Uchambuzi wa tatizo na malengo.katika mzunguko wa ,mradi,Usimamizi wa fedha,Uandaaji wa bajeti, Uandaaji taarifa kufuatana na mfumo wa FCS. | Kutoa mikataba kwa shughuli za miradi tulizoziombea ruzuku toka FCS. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo usimamizi wa Ruzuku | 2010 | Uandishi wa Mradi Usimamizi wa Fedha | Maarifa yametumika katika kutekeleza mradi huu. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Tamasha la nane la monesho ya azaki za kirai | may 2010 | Tulijifunza na kuona jinsi asasi mbalimbali zinavyo fanya kazi ,lakini pia tulijua wajibu/majukumu ya asasi za kiraia katika kukuza demokrasia | Katika uchaguzi mkuu wa 2010 kwa kushirikiana na shirika ForDIA tulishiriki katika mradi wa RAIA MAKINI 2010; ambapo tulitoa elimu kwa mpiga kura katika wilaya 5 za mkoa wa Tanga ambazo ni:- Korogwe,Muheza, Mkinga,Tanga mjini na Lushoto |
Mafunzo juu ya kusimamia ruzuku yaliyoendeshwa mjini Dar-es-salaam[ Belinda Hotel] | Desemba 2008 | -Namna ya kubuni miradi - Kutunza kumbukumbu za fedha - kufanya ufuatiliaji na tathimini -kuandaa taarifa ya utekelezaji wa mradi | Tumekuwa tukitumia maarifa tuliyo yapata kuandika miradi na kuituma kwa wafadhili mbalimbali ambapo baadhi imefanikiwa kupata ufadhili. |
Mafunzo juu ya kusimamia ruzuku za miradi yaliyo fanyika Dodoma Hotel | February 2010 | ------------//---------------- | -----------//-------------- |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RUZUKU | 06/10/ 2009 | USIMAMIZI WA MRADI | UTEKELEZAJI WA MRADI |
WARSHA YA KUPASHANA HABARI | 2008 | RUZUKU ZINAZOTOLEWA NA FOUNDATION | KWANZA KUFANYA MAOMBI YA MRADI |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo ya usimamizi wa Ruzuku | December 2010 | 1. Utunzaji na usimamizi bora wa fedha 2. Kuandaa miradi kwa mti wa matatizo na mti wa suluhisho | Kutengeneza mfumo mzuri zaidi wa matumizi ya fedha katika shirika |
Tamasha la asasi za kiraia | Mei 2010 | 1. Vigezo vilivyotumika katika kupata mshindi wa Tuzo ya Asasi bora. 2. Maonesho ya shughuli za Asasi mbalimbali | Kujipanga kwa ajili ya kupata tuzo ya Asasi bora 2011 |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo ya Usimamizi wa Ruzuku (MYG) | Februari, 2010 | Namna ya kutekeleza na kusimamia mradi kikamilifu na ipasavyo | Kutekeleza mradi kwa kuzingatia maarifa na stadi zilizowezeshwa |
Ufuatiliaji na tathmini ya maendeleo ya utekelezaji Mradi | Aprili, 2011. | Namna ya kutekeleza na kusimamia mradi kikamilifu na ipasavyo na utunzaji wa kumbukumbu | Kufanya marekebisho ya utunzaji wa kumbukumbu za mradi na asasi kiujumla. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
mafunzo ya usimamizi wa ruzuku | Agosti | Umuhimu/Usimamizi wa fedha - udhibiti wa fedha - Utenganishi wa majukumu Madaraka na mipaka yake - Uandaaji na uhifadhi wa kumbukumbu za mahesabu - Uandaaji w taarifa ya fedha-foundation. | kutekeleza mafunzo hayo kwa vitendo, kwa kuandaa vitabu vya kumbukumbu za fedha, na nyaraka nyingine kama voucher, fomu ya kuombea fedha, na mikataba ya wawezeshaji . kuweka kumbukumbu vizuri |
Uandishi wa taarifa | kufuata hadidu za rejea za somo hili na kuzitekeleza kwa vitendo wakati wa uandishi wa taarifa zetu za shirika. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo ya usimamizi wa ruzuku | 2009 | Namna ya kutumia fedha wakati wa kutekeleza mradi Jinsi ya kuandika ripoti ya maendeleo ya mradi na ya fedha kila robo ya mwaka | tumefundishwa ,tumeelewa na tunaendelea kufanyia kazi mafunzo hayo |
Organization Development(OD) | 2010 | Namna ya kusimamia malengo ya shirika na mipango mikakati | tunaendelea kusimamia mipango ya shirika kadiri ilivyowekwa ndani ya katiba na sheria ndogondogo zinazowekwa na kamati ya utendaji ya JEBA |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Tamasha la tuzo la asasa zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa miradi iliyofadhiliwa na FCS na tulipata cheti | 2006/2007 AICC Arusha | kuwa waangalifu na kutekeleza miradi kwa makini kufuatano na mlivyoombea | Utekelezaji na usimamizi mzuri wa miradi yetu |
Usimamizi wa fedha na utekelezaji wa mradi | 2009 Dodoma Hotel | kusimamia fedha kwa makini na kutekeleza miradi kwa kufuata mpangokazi na shughuli kama mlivyopanga na kuweza kutekeleza mradi kwa ufanisi | Imetusadia kutekeleza mradi miradi yetu mbalimbali kwa ufanisi |
Usimamizi wa fedha za miradi na utekelezaji | 2006Ukumbi wa maaskofu kurasini Dar es Salaam | Usimamizi wa fedha na miradi namna kutekeleza | Ilitusaidia sana kwa kutupa mwanga mzuri ambao ndiyo inatusaidia na sasa katika kutekeleza miradi mbalimbali. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo ya Usimamizi wa Ruzuku | December 2010 | Maana ya bajeti na umuhimu wake, uchambuzi wa bajeti, uandishi wa taarifa,Usimamizi wa fedha,Mpango kazi wa mradi, uandaaji wa taarifa za fedha, uandaaji na uhifadhi wa vitabu vya fedha | Kuboresha taarifa za fedha na taarifa za shughuri za mradi. |
Tamasha la asasi za kiraia | 2007 | Kuheshimiwa kwa matakwa na sauti za wananchi ili kuepusha kuvunjika kwa jumuiya ya afrika mashariki | Kuelimisha wafanyakazi wa asasi na jamii juu ya umuhimu wa jumiya ya afrika mashariki |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Training | 24-25 April 2008 | Financial and record keeping, Record cycle, Basic of report writing,Logframe & Monotoring and Evaluation | Using the skills I learnt to prepare reports we submmit to FCS. |
Tamasha la ASASI (Ubungo Plaza) | 27-29 Oktoba 2009 | Mikakati ya Utendaji ya FCS inavyolenga CSOs | FCS siyo mfadhili wa CSOs bali ni Mshirika wa CSOs katika kuiletea jamii maendeleo na kuzijengea uwezo asasi.Imekuwa rahisi kwetu kushirikiana nayo katika mambo mengi. |
Mafunzo | 12-13 Nov.2009 | Tathmini ya Uwezo wa AZaKi | Tunaitumia kujitathimini |
Mafunzo | Njuweni Hotel | PETS | Trained Councillors,CSOs and Council Workers on PETS skills and later they conducted practical PETS on EDUCATION and HEALTH ni their respective Councils and presented their findings to the councils commettee for education,health and water. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo yaliyofanyika Dodoma | Tarehe 8/10/2009 | Mwongozo wa utekelezaji na usimamizi wa mradi | Mwongozo ulitumika katika kusimamia mradi |
Mafuzo yaliyofanyika DSM | Tarewhe 19/3/2010 | Mafunzo ya fund raising | Elimu ilitumika katika kusimamia mradi |
Mafunzo yaliofanyika DSM DSM | Tarehe 19/5/2011 | Mafunzo ya uthibiti wa fedha za mradi | Elimu ilitumika katika kusimamia mradi |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Mafunzo ya usimamizi wa ruzuku | Aprili 2009 | Mbinu na stadi za kusimamia utekelezaji wa mradi kwa ufanisi. | Kusimamia utekelezaji wa mradi kwa ufanisi. |
Mafunzo ya usimamizi wa fedha | 2010 | Mbinu na stadi za kusimamia fedha za mradi kiufanisi. | Fedha za ruzuku ya mradi zimesimamiwa kiufanisi. |
Tamasha la Asasi za Kiraia | Mei, 2010 | Kubadilishana uzoefu, habari na taarifa mbalimbali kuhusu sekta ya AZAKi | Wadau mbalimbali wa AZAKi wa maeneo tofauti ya Lindi wamefikiwa na taarifa mbalimbali kuhusu AZAKi. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Manage Your Grants Training | A MONTH BEFORE THE CONTRACT SIGNING | HOW TO MANAGE THE ORGANIZATION FUNDING AND PROPOSAL WRITING | CONTROL OF ORGANIZATION FUNDING, WRITING PROPOSAL TO OTHER DONORS |
Annual Forum | AT THE END OF THE YEAR 2009 AND 2010 | MEETING WITH OTHER ORGANIZATIONS BUILDS NETWORKING AND SHARING OF EXPERENCE | ESTABLISHED NETWORKING WITH OTHER ORGANIZATIONS |
Information Session | A WEEK BEFORE SIGNING OF THE CONTRACT |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Manage Your Grants Training (MYG) | 13th - 17th December, 2010 | Project Preparation/Proposal, Monitoring and Evaluation, Project Action Plan, Project Budget, Report Writing, Manage Grant, | Applying the Knowledge on Implimentation of the Project: Increase Accountability in Local Government Budget Process. |
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Annual Forum | June 2010 | How FCS function and communicate with its stakeholder. | Improved communication with FCS. |
Manage your Grant | December 2010 | Importance of networking among the CSOs in Tanzania. | Established communcation with participants from other CSOs. |
« Rudi nyuma kwenye ripoti