Respondent: | Lindi Non Governmental Organization Network |
---|---|
Time Submitted: | July 12, 2011 at 4:26 PM EAT |
Introduction
Lindi Non Governmental Organization Network
LINGONET
Kujenga Uwezo na Stadi za AZAKi za Ushawishi na Utetezi na Kuimarisha Uashiriki katika Michakato ya Sera na Maendeleo.
FCS/MG/3/08/95
Dates: Machi 1, 2011 hadi Mei 31, 2011 | Quarter(s): Kwanza, Mwaka wa Pili |
Sharifu Maloya
S.L.P. 92
LINDI
Simu: +255 23 220 2630
Nukushi: +255 23 220 2630
Kiganjani:+255 787 187 008 / +255 712 316 141
Barua Pepe: smaloya22@yahoo.com; smaloya@hotmail.co.uk
S.L.P. 92
LINDI
Simu: +255 23 220 2630
Nukushi: +255 23 220 2630
Kiganjani:+255 787 187 008 / +255 712 316 141
Barua Pepe: smaloya22@yahoo.com; smaloya@hotmail.co.uk
Project Description
Policy Engagement
Civil Society Capacity Strengthening
Mradi huu una malengo ya kujenga na kuongeza uwezo wa Asasi za Kiraia (AZAKi) za wilaya 5 za Mkoa wa Lindi za; Liwale, Ruangwa, Nachingwea, Kilwa na Lindi. Mradi unawezesha kujenga uwezo wa viongozi wa AZAKi katika uendeshaji na uendelezaji wa asasi zao kiufanisi kwa kufanya mafunzo kwa viongozi wa AZAKi kimuundo, kiutendaji na kiuendeshaji (Organizational Development). Mradi unawezesha viongozi kutambua dhana na dhima ya AZAKi kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya watu tangu wakati kabala ya ukoloni, wakati wa ukoloni, baada ya uhuru na hatimaye ndani ya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Pia kuangalia Dira, Dhima, Malengo, Maadili na mambo mengine muhimu kwa ajili ya kuwezesha AZAKi kuendeshwa na kuendelezwa kwa ufanisi.
Vile vile mradi unalenga kuinua na kuboresha uelewa wa AZAKi na jamii kuhusu michakato mbalimbali ya kisera na maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Michakato hiyo ni pamoja na uandaaji wa mipango na bajeti za maendeleo, utungaji wa sheria ndogondogo na utoaji wa maamuzi mbalimbali. Imedhamiriwa na kukusudiwa kwamba kwa kufanya hivyo itawezesha kuongeza na kuboreka kwa uelewa na ushiriki wa AZAKi na jamii kiujumla katika michakato husika ya kisera, kisheria na maendeleo kiujumla. Pia kuimarisha na kuboresha ushirikiano na mahusiano baina ya AZAKi kwa upande mmoja na Serikali kwa upande mwingine ili kuhakikisha kwamba wananchi wakiwa walengwa wakuu wa michakato yote wanawezeshwa kupunguza umaskini uliokithiri na kujiletea maendeleo endelevu.
Vile vile mradi unalenga kuinua na kuboresha uelewa wa AZAKi na jamii kuhusu michakato mbalimbali ya kisera na maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Michakato hiyo ni pamoja na uandaaji wa mipango na bajeti za maendeleo, utungaji wa sheria ndogondogo na utoaji wa maamuzi mbalimbali. Imedhamiriwa na kukusudiwa kwamba kwa kufanya hivyo itawezesha kuongeza na kuboreka kwa uelewa na ushiriki wa AZAKi na jamii kiujumla katika michakato husika ya kisera, kisheria na maendeleo kiujumla. Pia kuimarisha na kuboresha ushirikiano na mahusiano baina ya AZAKi kwa upande mmoja na Serikali kwa upande mwingine ili kuhakikisha kwamba wananchi wakiwa walengwa wakuu wa michakato yote wanawezeshwa kupunguza umaskini uliokithiri na kujiletea maendeleo endelevu.
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Lindi | Lindi | - | - | 480 |
Lindi | Liwale | - | - | 480 |
Lindi | Ruangwa | - | - | 480 |
Lindi | Kilwa | - | - | 480 |
Lindi | Nachingwea | - | - | 480 |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 62 | 141 |
Male | 78 | 199 |
Total | 140 | 340 |
Project Outputs and Activities
1. Wawakilishi 60 wa AZAKi toka wilaya Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi wamejengewa uwezo na uelewa wa maarifa, mbinu na stadi za kufanya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ifikapo Desemba, 2011.
2. Viongozi/watendaji 20 wa Halmashauri za Wilaya/Manispaa na wawakilishi 20 wa AZAKi toka Halmashauri za Wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi wamejadiliana, kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu kuhusu uandaaji, utekelezaji, usimamizi na tathmini za miradi na shughuli za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ifikapo Desemba, 2011.
3. Ushirikiano na mahusiano baina ya viongozi/watendaji wa Halmashauri 2 za wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi na wawakilishi wa AZAKi vimeimarika na kuboreka ifikapo Desemba, 2011.
4. Ushiriki wa walengwa/wadau katika ufuatiliaji wa maendeleo ya utekelezaji mradi umeongezeka na kuboreka katika wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindii ifikapo Desemba, 2011.
2. Viongozi/watendaji 20 wa Halmashauri za Wilaya/Manispaa na wawakilishi 20 wa AZAKi toka Halmashauri za Wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi wamejadiliana, kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu kuhusu uandaaji, utekelezaji, usimamizi na tathmini za miradi na shughuli za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ifikapo Desemba, 2011.
3. Ushirikiano na mahusiano baina ya viongozi/watendaji wa Halmashauri 2 za wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindi na wawakilishi wa AZAKi vimeimarika na kuboreka ifikapo Desemba, 2011.
4. Ushiriki wa walengwa/wadau katika ufuatiliaji wa maendeleo ya utekelezaji mradi umeongezeka na kuboreka katika wilaya za Liwale na Ruangwa za Mkoa wa Lindii ifikapo Desemba, 2011.
1. Kuendesha mafunzo kwa wawakilishi wa AZAKi 30 juu ya dhana ya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) kwa siku 2 katika kila wilaya 5 za Mkoa wa Lindi ifikapo Desemba 2011.
2. Kufanya vikao vya siku 1 vya wadau 20 wa maendeleo kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri za Wilaya/Manispaa za Mkoa wa Lindi na wawakilishi wa AZAKi vya kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu kuhusu uandaaji mipango na bajeti za maendeleo, utekelezaji, usimamizi na tahmini za utekelezaji ifikapo Desemba, 2011.
3. Kufanya ufuatiliaji na tathmini shirikishi walengwa/wadau za maendeleo ya utekelezaji mradi katika Halmashauri za Wilaya/Manispaa 5 za Mkoa wa Lindi ifikapo Desemba, 2011.
2. Kufanya vikao vya siku 1 vya wadau 20 wa maendeleo kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri za Wilaya/Manispaa za Mkoa wa Lindi na wawakilishi wa AZAKi vya kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu kuhusu uandaaji mipango na bajeti za maendeleo, utekelezaji, usimamizi na tahmini za utekelezaji ifikapo Desemba, 2011.
3. Kufanya ufuatiliaji na tathmini shirikishi walengwa/wadau za maendeleo ya utekelezaji mradi katika Halmashauri za Wilaya/Manispaa 5 za Mkoa wa Lindi ifikapo Desemba, 2011.
1. Viongozi 30 wa AZAKi za Wilaya ya Liwale wamejengewa uwezo na uelewa kuhusu maarifa, mbinu na stadi za kufanya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo vinavyotekelezwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliyofanyika mnamo Machi, 2011.
2. Kufanyika kwa kikao cha pamoja cha wadau 20 kati ya viongozi/ watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale na wawakilishi wa AZAKi kujadiliana na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu uandaaji, utekelezaji, ufuatiliaji na tathmini ya mipango na bajeti za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika mnamo Machi, 2011.
3. Viongozi 30 wa AZAKi za Wilaya ya Ruangwa wamejengewa uwezo kuhusu maarifa, mbinu na stadi za kufanya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo vinavyotekelezwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliyofanyika mnamo Machi, 2011.
4.Kufanyika kwa kikao cha pamoja cha wadau 20 kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri ya Wialya ya Ruangwa kujadiliana na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu uandaaji, utekelezaji, ufuatiliaji na tathmini za mipango na bajeti za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika mnamo Machi, 2011.
5. Kufanyika kwa ufuatiliaji na tathmini ya maendeleo ya utekelezaji wa mradi kwa kushirikisha walengwa/wadau 40 kwa idadi ya 20 toka kila wilaya za Liwale na Ruangwa uliofanyika mnamo mwezi Mei, 2011.
2. Kufanyika kwa kikao cha pamoja cha wadau 20 kati ya viongozi/ watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale na wawakilishi wa AZAKi kujadiliana na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu uandaaji, utekelezaji, ufuatiliaji na tathmini ya mipango na bajeti za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika mnamo Machi, 2011.
3. Viongozi 30 wa AZAKi za Wilaya ya Ruangwa wamejengewa uwezo kuhusu maarifa, mbinu na stadi za kufanya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo vinavyotekelezwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliyofanyika mnamo Machi, 2011.
4.Kufanyika kwa kikao cha pamoja cha wadau 20 kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri ya Wialya ya Ruangwa kujadiliana na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu uandaaji, utekelezaji, ufuatiliaji na tathmini za mipango na bajeti za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika mnamo Machi, 2011.
5. Kufanyika kwa ufuatiliaji na tathmini ya maendeleo ya utekelezaji wa mradi kwa kushirikisha walengwa/wadau 40 kwa idadi ya 20 toka kila wilaya za Liwale na Ruangwa uliofanyika mnamo mwezi Mei, 2011.
1. Ndiyo, tofauti iliyopo ni kubadilishwa kwa shughuli ya mradi kutoka ya Kuendesha mafunzo kwa wawakilishi wa AZAKi wa wilaya 5 za Mkoa wa Lindi juu ya Programu ya Maboresho ya Serikali za Mitaa (LGRP) na badala yake kuwa Mafunzo kwa wawakilishi wa AZAKi juu ya dhana ya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM). Hata hivyo kabla ya kufanyika kwa mabadiliko haya Mratibu wa Mradi aliwasiliana na Afisa Programu anayesimamia mradi huu katika FCS, Bi. Rose Kihulya na kutoa idhini ya kutekelezwa kwa shughuli hiyo pasipo kupoteza walengwa na mantiki ya mradi.
2. Katika uombaji fedha za ruzuku robo ya kwanza, mwaka wa pili kulifanyika makosa ya kiufundi kwa kuomba fedha zaidi ya kiasi kilichostahili kwa jumla ya shilingi (TZS.11,420,850/=) ikilinganishwa na shilingi (TSZ. 10,897,000/=) zilizostahili na hivyo kuwepo tofauti ya shilingi (TZS. 523,850/=) kama ziada ambazo zimebakia na zitapunguzwa toka kwenye uombaji wa fedha robo ya pili, mwaka wa pili wa utekelezaji wa mradi.
2. Katika uombaji fedha za ruzuku robo ya kwanza, mwaka wa pili kulifanyika makosa ya kiufundi kwa kuomba fedha zaidi ya kiasi kilichostahili kwa jumla ya shilingi (TZS.11,420,850/=) ikilinganishwa na shilingi (TSZ. 10,897,000/=) zilizostahili na hivyo kuwepo tofauti ya shilingi (TZS. 523,850/=) kama ziada ambazo zimebakia na zitapunguzwa toka kwenye uombaji wa fedha robo ya pili, mwaka wa pili wa utekelezaji wa mradi.
1. Mafunzo juu ya dhana ya SAM kwa AZAKi za wilaya ya Liwale na Ruangwa (TZS. 4,002,000/=)
2. Vikao vya wadau kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri na AZAKi katika wilaya za Liwale na Ruangwa (TZS. 3,080,000/=).
3. Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya maendeleo ua utekelezaji mradi katika wilaya za Liwale na Ruangwa (TZS. 1,470,000/=)
4. Gharama za Utawala na Uendeshaji wa Mradi (TZS. 2,345,000/=).
2. Vikao vya wadau kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri na AZAKi katika wilaya za Liwale na Ruangwa (TZS. 3,080,000/=).
3. Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya maendeleo ua utekelezaji mradi katika wilaya za Liwale na Ruangwa (TZS. 1,470,000/=)
4. Gharama za Utawala na Uendeshaji wa Mradi (TZS. 2,345,000/=).
Project Outcomes and Impact
1. Uwezo na uelewa wa kimaarifa, mbinu na stadi kwa AZAKi za kufanya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamiii (SAM) umeongezeka.
2. Ushiriki wa AZAKi na jamii katika kufuatilia Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo katika Halmashauri za wilaya/manispaa unaimarika na kuboreka.
3. Uwajibikaji wa viongozi katika utekelezaji na usimamizi wa miradi na shughuli za maendeleo katika Halmashauri za wilaya/manispaa unaboreka.
4. Uwazi wa viongozi na watendaji wa Halmashauri katika utekelezaji wa miradi na shughuli za maendeleo katika Halmashauri za wilaya/manispaa unaongezeka.
5. Ushirikiano na mahusiano baina ya viongozi/watendaji wa Hlamshauri za Wilaya/manispaa na AZAKi vinaboreka na kuimarika.
6 Upashanaji na upatikanaji wa habari na taarifa za utekelezaji, usimamizi na ufanisi wa mipango na bajeti za maendeleo unaongezeka, kuimarika na kuboreka.
2. Ushiriki wa AZAKi na jamii katika kufuatilia Uwajibikaji Kijamii (SAM) katika miradi na shughuli za maendeleo katika Halmashauri za wilaya/manispaa unaimarika na kuboreka.
3. Uwajibikaji wa viongozi katika utekelezaji na usimamizi wa miradi na shughuli za maendeleo katika Halmashauri za wilaya/manispaa unaboreka.
4. Uwazi wa viongozi na watendaji wa Halmashauri katika utekelezaji wa miradi na shughuli za maendeleo katika Halmashauri za wilaya/manispaa unaongezeka.
5. Ushirikiano na mahusiano baina ya viongozi/watendaji wa Hlamshauri za Wilaya/manispaa na AZAKi vinaboreka na kuimarika.
6 Upashanaji na upatikanaji wa habari na taarifa za utekelezaji, usimamizi na ufanisi wa mipango na bajeti za maendeleo unaongezeka, kuimarika na kuboreka.
1. Uwezo na uelewa wa AZAKi juu ya dhana ya SAM umeongezeka.
2. Ushiriki wa AZAKi na wananchi katika michakato ya maendeleo umeongezeka na kuboreka.
3. Uwezo wa wananchi kufuatilia uwajibikaji wa kijamii kwa viongozi na watendaji wa Halmshauri za wilaya/manispaa unaimarika na kuboreka.
4. Ushirikiano na mahusiano baina ya wawakilishi wa AZAKi umeboreka.
5. Mahusiano na ushirikiano baina ya viongozi/watendaji wa Halmashauri za wilaya/manispaa na Wawakilishi wa AZAKi katika michakato ya maendeleo vimeimarika na kuboreka.
2. Ushiriki wa AZAKi na wananchi katika michakato ya maendeleo umeongezeka na kuboreka.
3. Uwezo wa wananchi kufuatilia uwajibikaji wa kijamii kwa viongozi na watendaji wa Halmshauri za wilaya/manispaa unaimarika na kuboreka.
4. Ushirikiano na mahusiano baina ya wawakilishi wa AZAKi umeboreka.
5. Mahusiano na ushirikiano baina ya viongozi/watendaji wa Halmashauri za wilaya/manispaa na Wawakilishi wa AZAKi katika michakato ya maendeleo vimeimarika na kuboreka.
1. Viongozi/watendaji wa Halmashauri za wilaya/manispaa wametambua kuwa maendeleo ya kweli hayawezi kupatikana pasipo kushirikishwa walengwa na wadau wa maendeleo husika.
2. AZAKi na wawanchi wamefahamu kwamba pasipo ushiriki wao kamilifu katika michakato ya mipango na bajeti za maendeleo itakuwa ni vigumu kufikiwa kwa maendeleo ya kweli na yaliyo endelevu.
2. AZAKi na wawanchi wamefahamu kwamba pasipo ushiriki wao kamilifu katika michakato ya mipango na bajeti za maendeleo itakuwa ni vigumu kufikiwa kwa maendeleo ya kweli na yaliyo endelevu.
Hakuna sababu zozote za tofauti katika mabadiliko yaliyotokana/kuletwa na mradi.
Lessons Learned
Explanation |
---|
Kutokuwepo kwa mahusiano na ushirikiano usioridhisha/ sio mzuri kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri za wilaya/manispaa na wawakilishi wa AZAKi na wananchi kiujumla kuhusu michakato ya sera na maendeleo. |
Wananchi hawashirkishwi kikamilifu na ipasavyo katika michakato ya uandaaji wa mipango na bajeti za maendeleo katika ngazi ya vijiji.mitaa, vitongoji na kata. |
Mipango na miradi ya maendeleo katika Halmashauri za wilaya/Manispaa haitekelezwi kama ipasavyo na sawa na ilivyokusudiwa. |
Kukosekana kwa uwazi wa kutosha na uwajibikaji duni kwa viongozi na watendaji wa Halmashauri za wilaya/manispaa za Mkoa wa Lindi. |
Wananchi kukosa uelewa juu ya haki na wajibu wao katika michakato ya sera na maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa na hivyo kupelekea kuwepo kwa ushiriki duni. |
AZAKi nyingi hazina uwezo, maarifa wala mbinu za kufanya ushiwishi na uchechemuzi kuhusu haki na wajibu wa wananchi kushiriki/kushirikishwa katika hatua tofauti za michakato ya kisera na maendeleo kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa. |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Viongozi na watendaji wa Halmashauri za wilaya/manispaa kuwa na fikra mgando kwamba wao ndio wanaojua kila kitu na kwamba ndio serikali yenyewe. | Kuelimishana na kupeana habari na taarifa kuhusu wajibu na majukumu ya viongozi na watendaji wa Halmshauri katika kuandaa, kutekeleza na kusimamia mipango na bajeti za maendeleo. |
AZAKi kutotekeleza wajibu wao wa kuhamasisha na kuelimisha jamii ipasavyo kutambua nafasi, wajibu na haki zao katika michakato ya sera na maendeleo. | Kuhamasisha AZAKi kutimiza wajibu wao wa kuelimisha na kuhamasisha jamii katika masuala tofauti ya kiuchumi, kijamii na kiutamaduni. |
AZAKi kukosa/kuwa na maarifa, mbinu na stadi visivyokidhi haja na mahitaji ya kufanya ushawishi na uchechemuzi kuhusu haki na wajibu wa wananchi kushiriki katika michakato ya sera na maendeleo. | Kuelimisha na kuhamasisha AZAKi kujengeana uwezo na stadi za kufanya ushawishi na uchechemuzi wa kudai haki na wajibu wao na jamii katika michakato ya sera na maendeleo. |
Kupanda kwa gharama za baadhi ya mahitaji na vifaa muhimu katika utekelezaji wa shughuli za mradi kiufanisi; mf. Vyakula, nauli kwa washiriki n.k. | Kununua/kulipia vifaa na/au mahitaji ya utekelezaji wa mradi yanayoendana na bajeti iliyopo kwa kuzingatia ubora na hali halisi iliyopo. |
Baadhi ya watendaji/viongozi wa AZAKi kutofahamu vyema malengo ya mradi na matokeo/mabadiliko yaliyokusudiwa na kutarajiwa. | Kuelimishana na kuelekezana malengo ya mradi, matokeo/mabadiliko yaliyokusudiwa na kutarajiwa. |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Halmashauri za Wilaya za Liwale na Ruangwa | Kukubali kushiriki katika vikao vya majadiliano na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu michakato ya sera na maendeleo katika Hlamshauri ya wilaya husika. |
Ofisi ya Katibu Tawala (W) ya Ruangwa | Kufanya ufunguzi rasmi na kutoa nasaha katika kikao cha majadiliano na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu uandaaji, utekelezaji, usimamizi na tathmini ya utekelezaji mipango na bajeti za maendeleo za Hlamshauri za Wilaya. |
Ofisi ya Idara ya Mipango (W) za Liwale na Ruangwa | Kuandaa na kuwasilisha mada kuhusu wajibu wa idata ya Mipango katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo katika wilaya kwa faida na manufaa ya wananchi. |
Ofisi za Idara ya Maendeleo ya Jamii (W) za Liwale na Ruangwa. | Kuandaa na kuwasilisha mada kuhusu wajibu wa idara ya maendeleo ya jamii katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo katika wilaya kwa faida na manufaa ya wananchi. |
Mitandao ya AZAKi (W) za Liwale (ULIDINGO) na Ruangwa (RUANGONET) | Kusambaza mialiko, kuandaa kumbi na mawasiliano ya moja kwa moja na walengwa/wadau wa mradi ikiwamo Serikali ngazi ya wilaya na Halmashauri kuhusu utekelezaji wa shughuli za mradi katika maeneo yao. |
Future Plans
Activities Planned | 1st Month | 2nd Month | 3rd Month |
---|---|---|---|
Kuendesha mafunzo ya siku 2 kwa wawakilishi 30 wa AZAKi wa wilaya ya Lindi juu ya dhana ya Ufuatiliaji Uwajibikaji Kijamii (SAM) ifikapo Desemba, 2011. | xxxxxxx | ||
Kufanya vikao vya siku 1 kati ya viongozi/watendaji wa Halmashauri za Manispaa na Wilaya Lindi na wawakilishi wa AZAKi vya kujadiliana na kubadilishana habari na taarifa, ujuzi na uzoefu tofauti kuhusu michakato ya uandaaji, utekelezaji, usimamizi na tathmini za mipango na bajeti za maendeleo ifikapo Desemba, 2011. | xxxxxxx | ||
Kufanya ufuatiliaji na tathmini shirikishi ya maendeleo ya utekelezaji mradi katika wilaya ya Lindi ifikapo Desemba, 2011. | xxxxxxx | xxxxxxx | xxxxxxx |
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | 13 | 30 |
Male | 15 | 38 | |
Total | 28 | 68 | |
People living with HIV/AIDS | Female | 9 | 18 |
Male | 12 | 29 | |
Total | 21 | 47 | |
Elderly | Female | 14 | 33 |
Male | 18 | 47 | |
Total | 32 | 80 | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | 10 | 21 |
Male | 12 | 29 | |
Total | 22 | 50 | |
Youth | Female | 16 | 39 |
Male | 21 | 56 | |
Total | 37 | 95 | |
Other | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | 140 | 340 |
(No Response)
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Matamasha ya AZAKi | 2009 na 2010 | Umuhimu wa kufanya kazi kwa umahiri na ubunifu mkubwa ili kupata ufanisi na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. | Kuhamasisha AZAKi kuwa wabunifu na kuchapa kazi kwa umahiri na ustadi mkubwa ili kupata mafanikio makubwa. |
Maonesho ya AZAKi Bungeni | 2006, 2007, 2008, 2009 | Umuhimu wa kufanya kazi karibu na wabunge ili kuwashawishi mabadiliko katika sera na sheria mbalimbali | Kuwashawishi baadhi ya wabunge kuwa karibu na AZAKi ili wasaidiwe katika kutambua na kukabiliana na changamoto za maendeleo katika majimbo yao. |
Mikutano ya Upashanaji habari za ruzuku toka FCS | 2005 na 2008 | Jinsi ya kuandaa na kuwasilisha maandiko miradi yenye sifa, vigezo na ubora unaohitajika na kukubalika na FCS na wadau wengine | Kuendeleza jitihada za FCS kujenga uwezo wa AZAKi changa juu ya uandishi wa miradi yenye ubora na vigezo stahili. |
Mkutano kuhusu Jukwaa la Katiba Tanzania | 2011 | Umuhimu wa kusoma Katiba ya Muungano na kuelewa marekebisho tofauti (14) yaliyokwisha kufanyika | Kuhamasisha AZAKi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uandaaji wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania |
Mafunzo ya Usimamizi wa Ruzuku (MYG) | 2009 | Maarifa, mbinu na stadi za kusimamia utekelezaji wa mradi na matumizi ya fedha za ruzuku kwa ufanisi. | Kutumia maarifa, mbinu na stadi zilizotolewa kusimamia utekelezaji wa mradi na matumizi ya fedha za ruzuku kiufanisi. |
Attachments
« Back to report