Respondent: | UNION OF NON GOVERNMENTAL ORGANIZATIONS KILOSA |
---|---|
Time Submitted: | 4 Nyakanga, 2011 at 16:38 EAT |
Introduction
UNION OF NON GOVERNMENTAL ORGANIZATIONS KILOSA
UNGOKI
KUELIMISHA JAMII KUPAMBANA NA RUSHWA KUELEKEA UCHAGUZI 2010
FCS/RSG/03/09/239
Dates: JANUARY - MARCH 2011 | Quarter(s): 1 |
FUIME SIMON ANTONY
S.L.P. 41, KILOSA
S.L.P. 41, KILOSA
Project Description
Governance and Accountability
Mradi huu ulilenga kuelimisha Asasi wanachama kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 kwa bahati mbaya fedha zilichelewa kwa hiyo uelimishaji ulifanyika baada ya uchaguzi kwisha.
LENGO LA MRADI
Kuelimisha jamii kupambana na Rushwa.
LENGO MAHKUSUSI ( SPECIFIC OBJECTIVES )
I. Kutoa mafunzo kwa viongozi wa wanachama 30 wa UNGOKI juu ya kupambana na Rushwa.
II. Wanachama viongozi 30 baada ya kupata mafunzo kwenda asasi zao kuelimisha
wanachama wao.
III. Wanachama wote kwa ujumla wao kutoa elimu kwa jamii katika nafasi mbalimbali juu ya
kupambana na Rushwa.
LENGO LA MRADI
Kuelimisha jamii kupambana na Rushwa.
LENGO MAHKUSUSI ( SPECIFIC OBJECTIVES )
I. Kutoa mafunzo kwa viongozi wa wanachama 30 wa UNGOKI juu ya kupambana na Rushwa.
II. Wanachama viongozi 30 baada ya kupata mafunzo kwenda asasi zao kuelimisha
wanachama wao.
III. Wanachama wote kwa ujumla wao kutoa elimu kwa jamii katika nafasi mbalimbali juu ya
kupambana na Rushwa.
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Morogoro | Kilosa | Kasiki, Kimamba A Msowero, Dumila, Magomeni, Mbumi, Chanzuru Mkwatani | Kitongoji cha Kasiki, Mbumi, Manzese, Behewa, Magomeni, Kimamba, Msowero, Dumila na mlimani Boma. | 30 |
Kigamboni | ||||
Kimamba | ||||
Uhindini |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 12 | 100 |
Male | 18 | 200 |
Total | 30 | 300 |
Project Outputs and Activities
Viongozi 30 toka asasi wanachama wa UNGOKI wameongeza uelewa juu ya Rushwa na Madhara yake.
. Kuendesha mafunzo ya TOT kwa wanachama 30 wa UNGOKI kwa siku 3 juu ya mapambano
dhidi ya Rushwa.
. Ufuatiliaji na tathimini ya Mradi
dhidi ya Rushwa.
. Ufuatiliaji na tathimini ya Mradi
UTANGULIZI:-
Mradi huu ulilenga kuelimisha asasi wanachama kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010 kwa bahati mbaya fedha zilichelewa kwa hiyo uelimishaji ulifanyika baada ya uchaguzi kwisha.
LENGO LA MRADI:-
Kuelimisha jamii kupambana na rushwa
LENGO MAHKUSUSI ( SPECIFIC OBJECTIVES )
I. Kutoa mafunzo kwa viongozi wa wanachama 30 wa UNGOKI juu ya kupambana na Rushwa.
II. Wanachama viongozi 30 baada ya kupata mafunzo kwenda kwenye asasi zao kuelimisha
wanachama wao.
III. Wanachama wote kwa ujumla wao kutoa elimu kwa jamii katika nafasi mbalimbali juu ya
kupambana na Rushwa.
UTEKELEZAJI WA MRADI:-
Mafunzo juu ya Rushwa na madhara yake yaliyotolewa kwa wanachama 30 wa UNGOKI kwa siku 3 tarehe 31. 12.2010 hadi tarehe 02 .01. 2011 Mjini kilosa.
Mafunzo haya yalitolewa na mwanasheria Ndg Angelus Runji kutoka UNGO MOROGORO.
NAMNA MAFUNZO YALIVYOTOLEWA:-
Washiriki wote walishiriki katika kuchangia mada za Rushwa na madhara yake.
Mwenzeshaji alitoa karatasi kwa kila mshiriki na kumtaka aeleze juu ya aina ya Rushwa anayoelewa na madhara yake.
Baada ya karatasi zilikusanywa na kusomwa. Maelezo yaliyofanana yaliwekwa pamoja.
Leongo la zoezi hili ni kupima ufahamu wa mada kabla ya kuanza mafunzo.
MADA ZILIZOTOLEWA:-
. Dhana ya Rushwa
. Sababu za Rushwa.
. Athari za Rushwa katika jamii.
. Jitihada za Serikali kupambana na Rushwa.
. Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa.
. Mkakati wa kitaifa wa kupambana na Rushwa
. Namna ya kukabiliana na Rushwa
. Umuhimu wa kupambana na Rushwa.
MAKUBALIANO YA MAFUNZO:-
. Kila kiongozi wa asasi atatoa Mrejesho wa mafunzo aliyopata kwa asasi yake.
. Kila asasi iweke mpango wa namna ya kuelimisha jamii.
UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA SHUGHULI YA MRADI:-
Lengo la ufuatilaji:-
. Kuona kama yale tuliyokubaliana yamefanyika katika ngazi ya asasi.
. Kuona kama wananchi wamepata elimu toka asasi zilizopata mafunzo
UFUATILAJI:-
1. HUDESA
2. KAYO
3. MWADETA
4. KIWACHE
5. FLOJIMA
6. WAMAJUKUU
7. KYDA
8. KISE
9. DUDEGRO
10. MYODO
MATOKEO YA UFUATILIAJI:-
Asasi zilifanyiwa ufuatiliaji zilitwekeleza maagizo yote waliyopewa. Kwa mfano:-
Mchungaji wa Anglikana amekuwa anatoa katika mahubili yake kila jumapili katika Kanisa lake elimu juu ya madhara ya Rushwa.
HUDESA walielimisha wanachama wao. Lakini pia wamekuwa wanazungumza maswala ya Rushwa kwa kila mradi wanaotekeleza mfano:- Mradi wa haki ya Kumiliki Ardhi kwa wafugaji na wakulima huko Tarafa ya Gairo mafunzo juu ya Rushwa yalitolewa.
Mradi huu ulilenga kuelimisha asasi wanachama kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010 kwa bahati mbaya fedha zilichelewa kwa hiyo uelimishaji ulifanyika baada ya uchaguzi kwisha.
LENGO LA MRADI:-
Kuelimisha jamii kupambana na rushwa
LENGO MAHKUSUSI ( SPECIFIC OBJECTIVES )
I. Kutoa mafunzo kwa viongozi wa wanachama 30 wa UNGOKI juu ya kupambana na Rushwa.
II. Wanachama viongozi 30 baada ya kupata mafunzo kwenda kwenye asasi zao kuelimisha
wanachama wao.
III. Wanachama wote kwa ujumla wao kutoa elimu kwa jamii katika nafasi mbalimbali juu ya
kupambana na Rushwa.
UTEKELEZAJI WA MRADI:-
Mafunzo juu ya Rushwa na madhara yake yaliyotolewa kwa wanachama 30 wa UNGOKI kwa siku 3 tarehe 31. 12.2010 hadi tarehe 02 .01. 2011 Mjini kilosa.
Mafunzo haya yalitolewa na mwanasheria Ndg Angelus Runji kutoka UNGO MOROGORO.
NAMNA MAFUNZO YALIVYOTOLEWA:-
Washiriki wote walishiriki katika kuchangia mada za Rushwa na madhara yake.
Mwenzeshaji alitoa karatasi kwa kila mshiriki na kumtaka aeleze juu ya aina ya Rushwa anayoelewa na madhara yake.
Baada ya karatasi zilikusanywa na kusomwa. Maelezo yaliyofanana yaliwekwa pamoja.
Leongo la zoezi hili ni kupima ufahamu wa mada kabla ya kuanza mafunzo.
MADA ZILIZOTOLEWA:-
. Dhana ya Rushwa
. Sababu za Rushwa.
. Athari za Rushwa katika jamii.
. Jitihada za Serikali kupambana na Rushwa.
. Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa.
. Mkakati wa kitaifa wa kupambana na Rushwa
. Namna ya kukabiliana na Rushwa
. Umuhimu wa kupambana na Rushwa.
MAKUBALIANO YA MAFUNZO:-
. Kila kiongozi wa asasi atatoa Mrejesho wa mafunzo aliyopata kwa asasi yake.
. Kila asasi iweke mpango wa namna ya kuelimisha jamii.
UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA SHUGHULI YA MRADI:-
Lengo la ufuatilaji:-
. Kuona kama yale tuliyokubaliana yamefanyika katika ngazi ya asasi.
. Kuona kama wananchi wamepata elimu toka asasi zilizopata mafunzo
UFUATILAJI:-
1. HUDESA
2. KAYO
3. MWADETA
4. KIWACHE
5. FLOJIMA
6. WAMAJUKUU
7. KYDA
8. KISE
9. DUDEGRO
10. MYODO
MATOKEO YA UFUATILIAJI:-
Asasi zilifanyiwa ufuatiliaji zilitwekeleza maagizo yote waliyopewa. Kwa mfano:-
Mchungaji wa Anglikana amekuwa anatoa katika mahubili yake kila jumapili katika Kanisa lake elimu juu ya madhara ya Rushwa.
HUDESA walielimisha wanachama wao. Lakini pia wamekuwa wanazungumza maswala ya Rushwa kwa kila mradi wanaotekeleza mfano:- Mradi wa haki ya Kumiliki Ardhi kwa wafugaji na wakulima huko Tarafa ya Gairo mafunzo juu ya Rushwa yalitolewa.
___________
. Utoaji mafunzo - 3,633,000/=
. Utawala - 1,107,000/=
. Ufuatiliaji - 200,000/=
JUMLA - 4,940,000/=
. Utawala - 1,107,000/=
. Ufuatiliaji - 200,000/=
JUMLA - 4,940,000/=
Project Outcomes and Impact
Viongozi 30 toka Asasi wanachama wa Ungoki wameongezewa uelewa juu ya Rushwa na Madhara yake. -
Viongozi 30 wamepata mafunzo juu ya madhara ya Rushwa na wamefanya mikutano kuelimisha asasi zao. Asasi zao kwa njia mbalimbali wanatoa elimu kwa jamii. Jamii sasa wanajitahidi kulinda haki zao zisijitahidi kulinda haki zao zisihujumiwe kwa Rushwa.
Maswala ya Rushwa yanazungumzwa sana katika mikutano ya viongozi wa Serikali. -
Maswala ya Rushwa yanazungumzwa sana katika mikutano ya viongozi wa Serikali. -
Wananchi wengi sasa wamehamasika kudai katiba mpya.
Wananchi wengi wanaamini kwamba serikali iliyopo imeingia madarakani kwa Rushwa na kwa hiyo ina walinda wala rushwa wakubwa wenzao. -
Wananchi wengi wanaamini kwamba serikali iliyopo imeingia madarakani kwa Rushwa na kwa hiyo ina walinda wala rushwa wakubwa wenzao. -
-
Lessons Learned
Explanation |
---|
wananchi wengi bado waoga wa kutoa taarifa kwa TAKUKURU kwa sababu wanahisi nao pia wanashirikiana na watoa Rushwa. |
Wakati wa ufuatiliaji wananchi wengi wanasema vita dhidi ya Rushwa ni ngumu kwa sababu wakubwa wanawalinda wala Rushwa wakubwa. Pia kwamba huwezi kupata uongozi wa siasa bila kutoa Rushwa. |
- |
- |
- |
- |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Mradi huu ulilenga kuelimisha jamii kabla ya uchaguzi | Viongozi wote wa asasi waliitwa kwenye mdahalo wa uchaguzi ulioandaliwa na UNGO kwa msaada wa FCS . |
Fedha zilichelewa | Hapo walipewa maelekezo kwa ufupi ambayo waliyatoa kwa watu kwa mbinu mbali mbali |
Mafunzo yamefanyika baada ya uchaguzi mwezi January - 2011 |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
TAKUKURU Wilaya walialikwa. | Viongozi wote walikiri kwamba Rushwa ni kubwa na wametoa , ahadi ya kushiriki katika mapambano. |
Afisa maendeleo Wilaya | |
Viongozi wote wa Dini waliopo Wilayani walialikwa. |
Future Plans
Activities Planned | 1st Month | 2nd Month | 3rd Month |
---|---|---|---|
- |
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Elderly | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Youth | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Other | Female | 12 | 100 |
Male | 18 | 200 | |
Total | 30 | 300 |
walionufaika wanaume ni 18 na wanawake ni 12 na wengineo wanaume ni 200 na wanawake ni 100
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Mafunzo usimamizi wa Ruzuku | 2010 | Uandishi wa Mradi Usimamizi wa Fedha | Maarifa yametumika katika kutekeleza mradi huu. |
Attachments
(No Response)
« Back to report