Envaya

Nuru Halisi

Wilaya ya Ilala Ukonga Mazizini, Tanzania

Kuelimisha jamii juu ya masuala mbalimbali ya yanayohusu UKIMWI, MADAWA YA KULEVYA, UTUNZAJI WA MAZINGIRA, na elimu kwa vikundi vya vijana na kinamama. Kuwatafuta msikwao popote walipo na kuwakutanisha na ndugu zao na wengine kuwaunganisha na wenzao na kuwapa mbinu za kujitegemea kwa kuwaanzishia miradi midogo midogo na kuwaendeleza kadri ya uwezo wa shirika.
Mabadiliko Mapya
Nuru Halisi imeongeza Habari.
ENVAYA WAMETUTEMBELEA OFISINI KWETU LEO
30 Mei, 2012
Nuru Halisi imeongeza Habari 57.
DIWANI WA GONGO LA MBOTO NA MSTAHIKI MEYA WA MANSPAA YA ILALA MH JERRY SLAA AKIPOKEA ZAWADI YETU KAMA ISHARA YA KUTUPONGEZA KWA UWAJIBIKAJI WETU MZURI
28 Juni, 2011
Nuru Halisi imeongeza Habari.
NURU HARISI WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MAMA NA BABA LISHE – DIRA YETU NI KUWAWEZESHA WAUZA VYAKULA NA MATUNDA WAZINGATIE YAFUATAYO ILI KUEPUKA KUENEA KWA KIPINDUPINDU KWA WATEJA – Osha vyombo kwa maji safi na sabuni Kufunika vyombo vyote vizuri na kwa... Soma zaidi
22 Desemba, 2010
Nuru Halisi imehariri ukurasa wa Timu.
Abubakar Saleh – Executive secretary. – Bernadetha Bageni – Chairperson – Philipo Mtoro – Community Relation officer – Wema Semwenda – Accoutant – Liberatus Mlay – Member – Edger Ndamwesiga... Soma zaidi
18 Oktoba, 2010
Nuru Halisi imeongeza Habari.
Mwezi August na september Nuru Halisi imetoa mafunzo kwa mama na baba lishe katika maeneo ya mazizini-Ukonga, Mafunzo hayo yalihudhuriwa na watu 32 na yalihusisha viongozi wa Kata ya Ukonga kitengo cha afya. Pamoja na kutoa elimu hiyo ya namna ya kutunza vyakula katika hali ya usafi, pia walipatiwa elimu ya namna ya... Soma zaidi
18 Oktoba, 2010
Sekta
Sehemu
Wilaya ya Ilala Ukonga Mazizini, Dar es Salaam, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu