
Ni kushirikiana na jamii katika kukabiliana na changamoto za Elimu, Demokrasia na Utawala Bora kwa kushirikiana na Serikali ili kuwa na mafanikio yenye tija kwa umma wa wakazi wa Dodoma na Taifa kwa ujumla.
***********************
MED inaamini kuwa Rasilimali za nchi zikitumika vyema na kwa mfumo shirikishi; pamoja na mgawanyo sawa wa Rasilimali mafanikio chanya yatapatikana kwa wananchi wote wa Tanzania.



See nearby organizations
Ni kuwa na Dodoma yenye mazingira Bora ya Elimu, Utawala Bora, Demokrasia ya kweli kwa wananchi wote na mfumo bora na imara wa mawasiliano ndani ya jamii.
Kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusiana na changamoto za Elimu, Demokrasia na Utawala Bora na namna ya kushirikiana na Serikali na jamii kuzikabili changamoto hizo ili kuleta mafanikio chanya kwa manufaa ya umma.
