Log in
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)

Dodoma, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Ni kushirikiana na jamii katika kukabiliana na changamoto za Elimu, Demokrasia na Utawala Bora kwa kushirikiana na Serikali ili kuwa na mafanikio yenye tija kwa umma wa wakazi wa Dodoma na Taifa kwa ujumla.

***********************

MED inaamini kuwa Rasilimali za nchi zikitumika vyema na kwa mfumo shirikishi; pamoja na mgawanyo sawa wa Rasilimali mafanikio chanya yatapatikana kwa wananchi wote wa Tanzania.

Latest Updates
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) added a News update.
WASICHANA NA CHANGAMOTO KATIKA MABARAZA YA WANAFUNZI – Ikionekana kama ilishazoeleka ya kuwa viongozi wengi wanaopaswa kuongoza kundi au vikundi vya... Read more
April 21
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) added a News update.
WAKETI KWENYE UDONGO DARASANI KWA UHABA WA MADAWATI – Wanafunzi katika shule ya msingi Chalula iliyopo Mvumi Makulu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wanakabiliwa na uhaba wa madawati na kusababisha... Read more
March 18
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) added a News update.
MIAKA SABA SHULE HAINA MWALIMU WA HESABU – Wakati serikali ikiwa imeunda tume ya kuchunguza chanzo cha matokeo mabaya ya kidato cha nne kwa mwaka 2012, zipo sababu nyingi... Read more
March 16
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) added 11 News updates.
Katika utekelezaji wa kweli wa maendeleo ya Tanzania tunahitaji viongozi wachapakazi wenye moyo wa kutumikia wananchi na kukubali ushauri bila kujali nyadhfa zao. Bi.Fatma Said Ally ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino ni miongoni mwa viongozi ambao wanapongezwa na wananchi kutika juhudi zake za kuwa karibu na wananchi,taasisi... Read more
February 27
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) updated its Picha za Matukio page.
Mwenye nyumba hii anahitaji kukutana na Tume ya Rais ya kukusanya maoni juu ya Marekebisho ya Katiba; wajumbe wa tume watamfikiaje huyu? taarifa za ujio wa Wajumbe wa Tume atazipataje? ... Read more
February 27
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) added 3 News updates.
UJIRA WA WALIMU UZINGATIE MAZINGIRA WANAYOPANGIWA – Imekuwa ni kama kawaida kusikia ya kuwa wapo walimu wengi ... Read more
February 25
Other Websites
Sectors
Location
Dodoma, Tanzania
See nearby organizations
Dira (Mission)

Ni kuwa na Dodoma yenye mazingira Bora ya Elimu, Utawala Bora, Demokrasia ya kweli kwa wananchi wote na mfumo bora na imara wa mawasiliano ndani ya jamii.

Dhamira (Vision)

Kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusiana na changamoto za Elimu, Demokrasia na Utawala Bora na namna ya kushirikiana na Serikali na jamii kuzikabili changamoto hizo ili kuleta mafanikio chanya kwa manufaa ya umma.