Log in
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)

Dodoma, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya uanzishaji wa Mabaraza ya Shule kwa njia ya kidemokrasia yaliyotolewa katika kijiji cha Mvumi Misheni. Mafunzo hayo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Haki zangu Sauti yangu unaotekelezwa na mashirika yasiyo ya kiserikali ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) na Women Wake Up (WOWAP) yote ya Dodoma kwa ufadhili wa Oxfam GB. Katika maoni ya washiriki hao waliomba suala la vifaa vya elimu hususan kwa wenye ulemavu lipewe kipaumbele.

February 17, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.