C. Other outcomes/changes originated from implementing the project
There is an increased awareness of the local community on gender policy as they are now willing to participate in the national development activities, most women are ready to commit themselves in the health and sanitation activities, trench digging, sewerage cleanliness, trees planting, local financial contributions for sustainable development.
In the year 2010/2011 of the 24 women inheritance based court cases, a total 16 women accessed their inheritance rights, by winning their long withstanding cases( Tanga District lower Court 2010/2011 data reports)
In the year 2010/2011 of the 24 women inheritance based court cases, a total 16 women accessed their inheritance rights, by winning their long withstanding cases( Tanga District lower Court 2010/2011 data reports)
JUMUIYA IMEKUWA NA DEMOKRASIA ZAIDI KATIKA MAAMUZI MBALI MBALI YANAYOHUSU JUMUIYA. INGAWA KUNA KAMATI NDOGO NDOGO ZILIZOUNDWA NA KUPEWA MAJUKUMU MBALI MBALI LAKINI MAAMUZI YOTE YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU HAYO HUAMULIWA KWA PAMOJA KATIKA JUMUIYA.
Idadi ya wajumbe wa kamati zashule imeongezeka mara baada ya kufahamu idadi kamili za wajumbe na kamati za shule. Aidha kamati za shule zimeweza kujigawa katika kamati ndogondogo za utendaji baada ya kupata maelekezo toka wa wawezeshaji wa Semina.
Utafutaji wa rasilimali umeongezeka baada ya wajumbe kuelewa wajibu wao kwa maendeleo ya shule.
Maofisa elimu wameona haja ya kuendeleza mafunzo haya kwa shule nyingine ambazo hazipo katika eneo la mradi.
Utafutaji wa rasilimali umeongezeka baada ya wajumbe kuelewa wajibu wao kwa maendeleo ya shule.
Maofisa elimu wameona haja ya kuendeleza mafunzo haya kwa shule nyingine ambazo hazipo katika eneo la mradi.
MRADI PIA UMEPANUA UELEWA WA WANACHAMA KATIKA KUJUA HALI HALISI YA ELIMU WILAYANI LINDI NA HIVYO KUFIKIRIA ZAIDI JUU YA KUENDELEZA MRADI HUU ILI KUKABILIANA NA CHANGA MOTO ZILIZOJITOKEZA.
KUMEKUWEPO NA USHIRIKIANO WA KARIBU NA WATENDAJI NGAZI ZA KATA NA WILAYA WAKATI WOTE WA UTEKELEZAJI WA MRADI HUU.
KUMEKUWEPO NA USHIRIKIANO WA KARIBU NA WATENDAJI NGAZI ZA KATA NA WILAYA WAKATI WOTE WA UTEKELEZAJI WA MRADI HUU.
Leaders have come close to further the goal and objective of the organization
uwajibikaji katika asasi umeongezeka
umoja na mshikamano wa viongozi wa asasi umeongezeka.
umoja na mshikamano wa viongozi wa asasi umeongezeka.
-Kutambulika na kujenga mahusiano kati ya wanamtandao na viongozi wa serikali.
-Kutambua majukumu na wajibu wa viongozi na wanachama katika asasi.
-Kuongezeka kwa uelewa wa wanachama na viongozi juu ya umuhimu wa usimamizi wa fedha.
-Kuamsha ari ya viongozi kujituma na kufanya kazi kwa moyo mmoja.
-Kutambua majukumu na wajibu wa viongozi na wanachama katika asasi.
-Kuongezeka kwa uelewa wa wanachama na viongozi juu ya umuhimu wa usimamizi wa fedha.
-Kuamsha ari ya viongozi kujituma na kufanya kazi kwa moyo mmoja.
Increased Awareness on Social Accountability
Monitoring in health among government leaders
Monitoring in health among government leaders
1.Kamati 8 zenye jumla ya watu 32 zimekwisha undwa kwa ajili ya kusaidia kuelimisha jamii juu ya haki za watu wenye ulemavu.
1.1 Mbunge wa Jimbo la Kilosa ameonyesha nia ya kusaidia jamii ya watu wenye ulemavu kupitia mfuko wa CDF
2.Hakuna mabadiliko mengine kwa sasa
3Bado ni mapema mno kwa kero zote kushufghulikiwa kwa wakati mmoja,isipo kuwa zipo dalili nzuri za kero zote kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.
1.1 Mbunge wa Jimbo la Kilosa ameonyesha nia ya kusaidia jamii ya watu wenye ulemavu kupitia mfuko wa CDF
2.Hakuna mabadiliko mengine kwa sasa
3Bado ni mapema mno kwa kero zote kushufghulikiwa kwa wakati mmoja,isipo kuwa zipo dalili nzuri za kero zote kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.
Viongozi kuondoa tofauti na kuwa na umoja kwa kushirikiana
•Kuongezeka kwa utaratibu wa ubadilishanaji wa taarifa zinazohusiana na programu za asasi yetu kutoka ngazi ya Mkoa na Ngazi ya Wilaya kupitia wawakilishi alioshiriki kwenye warsha ya Kuandaa Mpango Mkakati kutoka wilaya za Bagamoyo, Kisarawe,Mkuranga,Rufiji,Kibaha Mjini na Vijijini na Mafia
•Kuimarika kwa Upashanaji habari zinazohusiana na mipango ya maendeleo kutoka ofisi za Mipango katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri za Wilaya
•Kuimarika kwa Upashanaji habari zinazohusiana na mipango ya maendeleo kutoka ofisi za Mipango katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri za Wilaya
Mradi umechochea ari ya utendaji na utekelezaji wa majukumu mengine ya TEYODEN.
viongozi na wanachama wana elewa hatua za uandaaji wa miradi na kuusimamia .
Tija imeongezeka katika usimamizi wa fedha
Matumizi holele ya fedha yame kwisha.
Tija imeongezeka katika usimamizi wa fedha
Matumizi holele ya fedha yame kwisha.
Baada ya kukamilisha taratibu za marekebisho kuhusu utawala na uongozi wa fedha, asasi inaandaa kanuni za fedha pamoja na mfumo wa ndani wa taarifa na uwekaji kumbukumbu kwa njia sahihi
-Wanaazaki kufhamu namna ya kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi
-Kuongezeka kwa uelewa kwa wanaazaki juu PETS
-Kuongezeka kwa uelewa kwa wanaazaki juu PETS
No other changes
Mchango wa wananchi uliongeza uwajibikaji kwa viongozi wa Serikali kutoka kwenye maeneo mbalimbali.
1.Other Economic sectors like Water and Energy will be able to deliver services properly
2.There will be an increased production in all sectors that are interdependent with agriculture
2.There will be an increased production in all sectors that are interdependent with agriculture
Establishment of youth commitees in ward level
« Back to report