Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
kuwaleta pamoja watu/familia zinazolea watoto wenye ulemavu wa Mtindio wa Ubongo na viungo ili kubadilishana uzoefu, kupata elimu ya namna ya kuwatunza watoto wenye ulemavu wa Mtindio wa Ubongo akili na viungo
Kutoa elimu ya ulemavu wa Mtindio wa Ubongo na Viungo ili Kupunguza athari na maumivu yatokanayo na Mtindio wa Ubongo na viungo.
Kukusanya, kuchapisha na kusambaza taarifa zinazohusu matatizo yatokanayo na ulemavu wa Mtindio wa Ubongo na viungo.
Kuwasaidia wanachama kutetea na kupata haki zao kwa mujibu wa sheria.
Amakuru agezweho

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania yongeyeho 2 Amakuru agezweho.
makam mwenyekiti akiwasilisha mada
24 Nzeli, 2015

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania yongeyeho 4 Amakuru agezweho.
22 Nzeli, 2015
chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania yashyizeho Amakuru agezweho.
maadhimisho ya mtindio wa ubongo duniani ktk viwanja vya mnazi mmoja jiiini dar es salaam oktoba 2 2014.mgeni rasmi alikuwa kaimu katibu mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamii ndg michael john
4 Ukwakira, 2014

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania yashyizeho Amakuru agezweho.
MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM)JUNI 21,2014. – Mwenyekiti anawataarifu wanachama,wajumbe,wadau na jamii yote kuwa juni 21 2014,chawaumavita wanatarajia kufanya mkutano mkuu wa mwaka,katika viwanja vya mazoezi tiba manzese ukombozi,saa 3 asubuhi. – agenda za mkutano mkuu ni – 1.marekebisho ya katiba, ... Soma ibindi
9 Kamena, 2014
chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania yashyizeho Amakuru agezweho.
Taarifa – viongozi wa chawaumavita watakuwa hewani katika intavyuu ya channel 10 saa 1 asubuhi.
17 Ukuboza, 2013

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania yongeyeho 4 Amakuru agezweho.
4 Ukwakira, 2013
Ibyiciro
Aho uherereye
msasani-kinondoni, Dar es Salaam, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye