Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?

Duka langu lilikuwa limejaa vitu vya thamani kama ya shilingi millioni mbili.Vyote vimesombwa na maji.Achilia vyombo vyangu vya ndani.
Vitu vyangu imekuwa ni hasara tupu.Vitu vilivyookoka baada ya mafuriko nimelazimika kuviuza ili nipate hela ya angalau kodi ya chumba kimoja kisicho na umeme.
« Swali lililotanguliaSwali lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti