Respondent: | NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F) |
---|---|
Time Submitted: | 30 Januari, 2012 17:36 EAT |
Tabata KIsukuru (Maji Chumvi)
Miundo mbinu
Vitu vyote vya ndani vimeenda na maji
Maisha yangu yamebadilika na mashaka yameongezeka na usalama umepungua sana
Vingi havifanyi kazi
Kabla ya mafuriko: 30 | Sasa: 80 |

Mwakilishi wa Envaya Ramadhani Mgaya akiwa anaangalia sehemu ya mafuriko na jinsi yalivyo athiri eneo la tabata kisukuru

Mwakilishi wa Envaya Bwana Ramadhani Mgaya na wawakilishi wa asasi za kiraia wakiwa wanafanya mahojiano na wathirika wa mafuriko Tandale kwa mtogole

Mr Ezekiel NVRF akitaka kuvuka upande wa pili lakini alikosa sehemu ya kuvukia kwa sababu ya maji na matope mengi

Hili ni daraja linalo jengwa baada ya mafuriko kutokea katika eneo la Tandale kwa mtogole na linagharimu Tshs milioni 96 mpaka lilikamilika
« Rudi nyuma kwenye ripoti