Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Journalists Environment and (HIV)Aids Network
Time Submitted: 30 Januari, 2012 18:40 EAT
bughudadi chini
tunahitaji chakula na pesa
kiukweli vitu vyetu vyote vimeharibika sana
maisha yamekuwa magumu sana kwa upande wetu
kwa kweli hatuna maji kabisa
Kabla ya mafuriko: kawaida Sasa: kawaida
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti