
@NancyLazaro Hongera zimfikie mwalimu wako kwani alichukua jitihada kubwa kukufundisha mambo mengine ambayo ulitakiwa ujifunze chekechea

#TafakariChukuaHatua ushiriki katika #BoreshaChekechea kwani huko ndipo ulipofundishwa a,e,i,o,u na leo unajua kusoma tweets @OrijinoKomedi

#TafakariChukuaHatua kama bado hukumbuki leo ni #SikuYaWalimu na watu wanawapa pongezi walimu wao waliowafuta ujinga

EXCLUSIVE: Mwanamuziki wa R&B @IamBenPol ashiriki katika kampeni ya #boreshachekechea na hivi ndivyo alivyoshiriki http://t.co/7WMS9HMV

Ben Pol, Tanzania Music Artist , R&B Singer , Kilimanjaro music awards 2011 for Best R&B song of year and... http://t.co/7WMS9HMV

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KAMPENI YA ‘BORESHA ELIMU YA CHEKECHEA http://t.co/NjnQwEu6 http://t.co/EMjE57Kq

@EmmanTarimo Embu tukumbushe kwa nini umemkumbuka mwalimu NDONDE unakumbuka somo la kwanza toka kwake #SikuyaWalimu

@BatsyM Big Up kwa Mama naona ana ujumbe mzuri ona hapa http://t.co/IYQn8sV4 mjibu basi naye #SikuyaWalimu

@shilindeson Mwalimu alifanya kazi kubwa sana je unaweza ukatupa beti moja tu Hongera sana Mwalimu Tatu #SikuyaWalimu