Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Wananchi wakiwa wanaisikiliza hotuba ya mgeni rasmi Mh. Njwayo, kwenye sherehe ya jumuiya ya wazazi iliyoadhimishwa kiwilaya katika kijiji cha Luheya, kata ya Chaume.

large.jpg

Mbunge wa jimbo la Tandahimba, Mh. Juma Abdallah Njwayo akiwahutubia wananchi katika sherehe ya jumuiya ya wazazi iliyoadhimishwa kiwilaya kijijini Luheya, kata ya Chaume wilayani Tandahimba April 11 2015.

SHIMASETA ni Asasi ya kiraia inayofanya kazi zake kwa kushirikiana na Jumuiya zingine zinazofanya kazi zinazofanana nayo.

large.jpg

Washiri wa mafunzo ya elimu ya biashara (wajasiamali) ambayo yaliandaliwa na SHIMASETA, kwa ufadhili wa The International Labour Organization (ILO). Wajasiliamali hao kutoka kata 5 za Chaume, Luagala, Mkonjowano, Lienje na Litehu.

large.jpg

Kkutoka kushoto ni Mratibu Elimu kata ya Chaume Ndg. Carolina F. Namkoko, Ndg. Juma A. Kulyamba, Mw/kiti wa SHIMASETA, Ndg. Jafari M.Mtamba Mw/kiti wa Kijiji cha Chaume, Ndg. Abdallah H. Luheko Mw/kiti wa kitongoji cha Tupendane.

large.jpg

Aliyesimama ni Ndg. Ally N. Ndingo, mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba akifunga mafunzo ya ufuatiliaji wa rasilimali za umma PETS, yaliyoandaliwa na SHIMASETA kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society mwaka 2012

large.jpg

Washiriki wa mafunzo ya PETS wakiwa katika majadiliano kuhusu ufuatiliaji wa rasilimali za umma.

large.jpg

Katibu mtendaji wa SHIMASETA Ndg. Mohamedi Amri Namulyachi akitoa utangulizi kwa washiriki wa mafunzo ya PETS, yaliyoandaliwa na SHIMASETA kwa ufadhili wa FCS

large.jpg

Mkuu wa wilaya ya Tandahimba Ndg. Panaciano Nyami, akifungua mafunzo ya ufuatiliaji wa rasilimali za umma PETS yaliyoandaliwa na Asasi ya SHIMASETA kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society 2012.