Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
Kuzishawishi taasisi za fedha kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa wakulima
Amakuru agezweho

SHIRIKA LA MAENDELEO NA SERA TANDAHIMBA yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Wananchi wakiwa wanaisikiliza hotuba ya mgeni rasmi Mh. Njwayo, kwenye sherehe ya jumuiya ya wazazi iliyoadhimishwa kiwilaya katika kijiji cha Luheya, kata ya Chaume.
6 Gicurasi, 2015

SHIRIKA LA MAENDELEO NA SERA TANDAHIMBA yongeyeho 2 Amakuru agezweho.
Washiri wa mafunzo ya elimu ya biashara (wajasiamali) ambayo yaliandaliwa na SHIMASETA, kwa ufadhili wa The International Labour Organization (ILO). Wajasiliamali hao kutoka kata 5 za Chaume, Luagala, Mkonjowano, Lienje na Litehu. Soma ibindi
16 Nzeli, 2014

SHIRIKA LA MAENDELEO NA SERA TANDAHIMBA yongeyeho 4 Amakuru agezweho.
Aliyesimama ni Ndg. Ally N. Ndingo, mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba akifunga mafunzo ya ufuatiliaji wa rasilimali za umma PETS, yaliyoandaliwa na SHIMASETA kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society mwaka 2012 Soma ibindi
9 Nzeli, 2014
SHIRIKA LA MAENDELEO NA SERA TANDAHIMBA yakoze Amateka paje.
SHIRIKA LA MAENDELEO NA SERA TANDAHIMBA (SHIMASETA) ni Asasi ya kiraia iliyoasisiwa mwaka 2008, na kuanza shughuli zake mnamo mwaka 2009. Ofisi za makao makuu, zipo katika kijiji cha Chaume, Kata ya Chaume, wilaya ya Tandahimba, Mkoa wa Mtwara - Tanzania. Shimaseta ni shirika lisilo la kiserikali ambalo halilengi kupata faida "Azak" lililosajiliwa... Soma ibindi
28 Ugushyingo, 2013
SHIRIKA LA MAENDELEO NA SERA TANDAHIMBA yakoze Ikipe paje.
1. JUMA A. KULYAMBA - Mwe/kiti 2. MOHAMEDI A. NAMULYACHI - Katibu 3. EMENGELIANA MWIHUMBO - Mweka hazina 4. MOHAMEDI H. NANTEMA - Afisa mipango
28 Ugushyingo, 2013
Ibyiciro
Aho uherereye
Tandahimba Chaume, Mtwara, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye