Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Mafuriko yameleta athari gani kwenye maisha yako ya kila siku?

Nilazimika kurudisha familia kijijini Moshi ili nianze kuhangaika upya.Kwa sasa natafuta chumba cha kupanga Mbagala.
Maisha yangu yamebadilika na mashaka yameongezeka na usalama umepungua sana
« Swali lililotanguliaSwali lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti