How has your daily life been affected by the flooding?
magonjwa ya mlipuko, kuharibu ofisi yangu kwani vitendea kazi {vyerahani } kupotea, watoto kukosa vifaa muhimu vya shule,kulala chini, uchafu katika mazingira ya nyumba yangu,uchumi kuyumba,madeni kwa sababu ya nguo za wateja
kukosa vyombo vya kutumia ,kulala chini kwenye mikeka ,sehemu chafu yenye unyevunyevu,magonjwa ya mlipuko hasa kwa watoto, maralia isiyokwisha,uchumi kurudi nyuma,na kukosa uhakika wa chakula cha kila siku kwni matubai yalikuwa yanakodishwa na kuleta pesa ya kula, watoto kukosa vifaa vya shule
kuathiri masomo ya watoto wangu, kurudisha nyuma maendeleo ya familia yangu ,kuleta magonjwa ya mlipuko, maralia isiyopona ,ujumla maisha yamekuwa magumu sana kutokana na mafuriko tukizingatia kuwa sikujiandaa kwa jambo hili.
Yameleta magonjwa,katika familia kutokana na mazingira kuwa machafu yameathiri uchumi wangu kupotelewa na baiskeli ambazo nakodisha na kupata pesa ya matumizi ya kila siku,
kulala chini ,kurudisha nyuma maendeleo kwani inabidi nianze upya kununua vitu vya ndani.
kulala chini ,kurudisha nyuma maendeleo kwani inabidi nianze upya kununua vitu vya ndani.
Kunisababishia madeni,magonjwa hasa kwa watoto,kupoteza kitega uchumi changu pikipiki iliyokuwa inanipatia pesa za kila siku,ujumla maisha yangu yamerudi nyuma.kulala chini ,kukosa vyombo vya kupikia na kulia chakula,watoto kukosa vifaa
vya shule
vya shule
kuathiri watoto wangu kielimu kwa kuwachelewesha shule kutokana na kukosa pesa ya kununua vifaa vya shule na vitu vingine muhimu,magonjwa ya mlipuko pamoja na maralia , uchumi wangu kushuka ,kukosa vifaa muhimu ndani,
We are experiencing terrible life, there is no food,clothes, actually all basic needs and no alternative to start new life.
kupoteza ofisi au kaza ,kuleta madeni,ambayo yamenifanya nikose mwelekeo wa maisha ,kuanza upya maisha ,magonjwa ya mlipuko hasa kwa watoto kwa kuchezea maji machafu.maralia isiyopona tangu mafuriko yatokee mpaka leo
Maisha yamekuwa magumu sana kwani hakuna namna ya kuweza kuanza tena maisha mapya, nyumba imepata nyufa na hakuna uwezo wa kuikarabati.
kupoteza mwelekeo kiuchumi,baada ya mali za biashara na za nyumbani kupotea,magonjwa yasiyoisha kwangu na kwa watoto maralia na , kuharisha, kukosa maji, kuvuruga maisha ya watoto wangu kwani hawajaenda shule tangu shule zifunguliwe kutokana na kukosa sare,na vifaa muhimu vya shule
Vyanzo vya mapato vimeharibika, Hakuna uwezo wa kuanza na kurejea katika maisha ya kawaida ya kilasiku.
kurudi nyuma kimaishakimaendeleo au kiuchumi,kwani ninatakiwa kuanza upya kununua vitu vya ndani pamoja na vifaa vya shule ,pesa iliyopotea ilikuwa ya mkopo wa Finca .Hivyo nimebaki na deni ambalo sijui nitalilipa na nini.Kwa ujumla maisha yangu bila kupewa msaada itabidi nikimbie familia,
Maisha yamekuwa magumu, kwa kukosa miundombinu na vyanzo vya mapato, kwa kukosa mitaji ya kuanzia maisha upya.
Maisha yamebadilika sana
Maisha yamekuwa ya tabu sana
Maisha yamebadilika sana
Maisha yamebadilika
Maisha yamebadilika sana
Maisha yamebadilika
Maisha yamebadilika
« Back to report