Envaya

Hamjambo! WAKIHABIMA ilipata mwaliko wa kuhudhuria kongamano la wasaidizi wa kisheria lilioandaliwa na shirika la Legal Services Foundation (LSF) huko Dodoma kuanzia tarehe 24- 25 Oktoba 2016. WAKIHABIMA kwenye kongamano hili ilipeleka wawakilishi 2; Mr Tanmoza Fungafunga- M/kiti na Bibi Mwanaafa Wadi Malenga- Mjumbe wa k/tendaji. Ni Matarajio ya kila mwana WAKIHABIMA kuwa sasa shirika letu litakuwa limefunguliwa milango zaidi ya mafanikio.

October 31, 2016
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.