Log in
Wasaidizi wa kisheria Masasi

Wasaidizi wa kisheria Masasi

Masasi, Tanzania

WAKIHABIMA kwa kushirikiana na shirika la legal services facility LSF litaendesha mafunzo ya siku moja ya namna ya kuandaa na kuandika andiko la mradi, project write -up. Mafunzo hayo yatafanyika siku ya tarehe 22/11/2016 kenye ukumbi wa kanisa Katoliki parokia ya Masasi mjini. Hii ni kwa mujibu wa maelezo ya mwenyekiti wa WAKIHABIMA, Mr. Fungafunga bada ya kupewa taarifa ya mafunzo hayo. Ni matarajio ya uongozi na wanachama wote kuwa mafunzo haya yatatoa mwanga wa kuwezesha asasi yetu kueza kuandaa maandiko ya miradi ili kupata wahisani watakaofadhili shughuli za asasi.

November 21, 2016
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.