Kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa UKIMWI kwa kutumia sanaa. Pili, ni kusaidia watoto ya tima walioachwa na wazazi wao kutokana na ugonjwa wa UKIMWI. Tatu, ni kusaidia watoto ya tima sare za shule. Pia, kuwapa mahitaji madogo watu wanoishi na virusi vya UKIMWI.
Mabadiliko Mapya

Wapoli Living Positive imeongeza Habari.
Mimi naitwa Zephania Kyungai mwenyekiti wa kikundi cha sanaa WALIPO kilichoko Tengeru. Naishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWA kwa muda wa miaka kumi. Baada ya kufuata ushauri wa daktari niliweza kuondoa usongo wa mawazo na sasa hivi naishi bila matatizo yoyote. Nafanya kazi zangu zote nahudumia familia yangu bila matatizo. Soma zaidi
10 Juni, 2010
Wapoli Living Positive imejiunga na Envaya.
10 Juni, 2010
Sekta
Sehemu
Tengeru, Arusha, Arusha, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu