Kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa UKIMWI kwa kutumia sanaa. Pili, ni kusaidia watoto ya tima walioachwa na wazazi wao kutokana na ugonjwa wa UKIMWI. Tatu, ni kusaidia watoto ya tima sare za shule. Pia, kuwapa mahitaji madogo watu wanoishi na virusi vya UKIMWI.
Amakuru agezweho

Wapoli Living Positive yashyizeho Amakuru agezweho.
Mimi naitwa Zephania Kyungai mwenyekiti wa kikundi cha sanaa WALIPO kilichoko Tengeru. Naishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWA kwa muda wa miaka kumi. Baada ya kufuata ushauri wa daktari niliweza kuondoa usongo wa mawazo na sasa hivi naishi bila matatizo yoyote. Nafanya kazi zangu zote nahudumia familia yangu bila matatizo. Soma ibindi
10 Kamena, 2010
Wapoli Living Positive yasanze Envaya.
10 Kamena, 2010
Ibyiciro
Umuco karande, Ubuzima, virusi itera SIDA, uburenganzira bw'ikiremwa muntu, ibigo by'imari iciriritse
Aho uherereye
Tengeru, Arusha, Arusha, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye