Log in

/ndanda/news: English: WI000CF2AB6BE00000004362:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

HABARI ZINAZOHUSU WANAKIKUNDI WA WEMA - MKALAPA, WILAYA YA MASASI

1. WANAHARAKATI WA ELIMU, MAZINGIRA NA AFYA - WEMA, WAENDESHA MJADALA WA WAZI KATIKA MJI MDOGO WA NDANDA, MASASI

Tarehe 03 Mei 2010, Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA, waliendesha mjadala wa wazi uliofanyika katika mji mdogo wa Ndanda uliopo katika wilaya ya Masasi. Katika mjadala huo watu mbalimbali wakiwamo; wadau wa elimu, wazazi, wanafunzi pamoja na wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya, walishiriki katika mjadala huo.

Mada katika mjadala huo ilikuwa; "Namna disco toto na kumbi za starehe zinavyoathiri watoto na wanafunzi kujifunza." Mjada huo uliongozwa na Mchungaji Joseph Mwanga ambaye pia ni Mtunza Fedha wa kikundi cha WEMA, pamoja na Mr. Allyi K. Kamtande, Katibu wa kikundi cha WEMA.

Washiriki wote waliohudhuria walikubaliana na mada ambayo iliwasilishwa kwa ustadi mkubwa na waongoza mjadala. Waongozaji wa mjadala walitoa mifano mingi ya jinsi "disco toto" zinavyowapawisha watoto kiasi kwamba hawasikilizi makatazo ya wazazi wao. Kwa upande wa pili waongozaji wa mjadala walielekeza lawama kwa baadhi ya wazazi ambao hutoa fedha na kuwapatia watoto wao ili waende kwenye "disco toto" ama kuangalia picha kwenye kumbi za video, wakidhani kuwa kufanya hivyo wanaonesha mapenzi kwa watoto wao.

Katika kuunga mkono hoja hiyo, wapo waliosema kuwa kukithiri kwa kumbi za video vijijini ndiyo kichocheo kikubwa cha matendo ya ngono, na hatimaye kuongezeka kwa mimba za wanafunzi. Aidha, wengine walisema kitendo cha mtoto kwenda kwenye kumbi za starehe kunawakutanisha watoto wenye tabia nzuri, na watoto wenye tabia mbaya kama ile ya uvutaji bangi. Matokeo yake, watoto wazuri hujikuta wakijiingiza katika matendo ya uvutaji bangi pamoja na unywaji wa pombe.

Wachangiaji wengine walienda mbali zaidi kwa kuhusisha swala la kuendekeza starehe na taaluma. Walielezea kuwa, hali ya morali ya usomaji (kujisomea) kwa wanafuzi siku hizi haipo kabisa. Walibainisha kuwa hakuna mwanafunzi anayerudi shuleni akachukua daftari ama kitabu na kujisomea. Matokeo yake ni kushuka kwa taaluma. Washiriki walibainisha wazi kuwa hali ni mbaya zaidi vijijini ambako walimu ni wachache na pia kuna upungufu mkubwa wa vitabu. Washiriki walipendekeza kuwa mijada ya aina hii ni muhimu na kwamba inafaa ifanyike mara kwa mara na katika maeneo tofauti kwani inasaidia kuleta changamoto kwa wananchi. Mjadala huo ulifadhiliwa na shirika la hiari la HakiElimu.

Wanaoonekana kaktika picha ni watoto (wanafunzi) wakisasambua kiduku (aina mojawapo ya uchezaji) kama walivyokutwa na mpiga picha katika moja ya kumbi zilizopo katika mji mdogo wa Ndanda. (Taarifa hizo za mjadala wa wazi zimechapishwa katika magazeti mbalimbali likiwemo gazeti la Mwananchi Na. 03629 la tarehe 25 Mei 2010 uk.10 na Mwananchi Na. 2 linalozungumzia 'Maarifa' uk.2, mada maalumu inayohusu ELIMU.)

 

News about the group of good - MKALAPA, District of revenge

1. Activists OF EDUCATION, ENVIRONMENT AND HEALTH - EMA, to conduct the debate open in the small town of NDANDA, revenge

On May 3, 2010, activists of Education, Environment and Health-good, they run an open debate held in the small town of Ndanda located in Masasi District. In the debate they are different people, the stakeholders of education, parents, students and activists of Education, Environment and Health, participated in the debate.

Topics in the debate was: "How children and disco halls enjoyment affect children and students learn." Jada was led by Pastor Joseph Mwanga who is also treasurer of the good group, including Mr. Allyi K. Kamtande, secretary of a group of good.

All participants who attended agreed that the topic was presented with great skill to guide discussion. Directors of the debate gave many examples of how "disco child" zinavyowapawisha children so much that prohibition does not listen to their parents. In the second part of the discussion guides were set to blame for some of the parents who provide money to give their children to go to the "disco child" or look at pictures in the halls of the video, they think that doing so they show affection to their children.

In support of this argument, there are some who say that kukithiri for video halls in rural areas is a catalyst for sexual acts, and ultimately increased pregnancy students. Furthermore, others say the act of a child going to the venues of entertainment kunawakutanisha children with good behavior, and children with bad habits like smoking the marijuana. Consequently, children may find themselves drawn beautiful works of smoking marijuana and alcohol.

Contributors others went further adapted to include the issue of comfort and professionalism. Described that situation morali reading (reading) for students these days do not exist at all. Walibainisha that no student who returned to school and took a notebook or a book to read. The result is a decline in professionalism. Participants were clear that the situation is worse in rural areas where teachers are scarce and there is also a shortage of books. Jada Participants suggested that this type is important and that should be done regularly and in different areas because it helps bring a challenge to the public. The debate was sponsored by a voluntary organization of HakiElimu.

Wanaoonekana kaktika pictures are children (students) were sasambua duiker (one kind of player) as they vyokutwa and photographer in one of the venues available in the small town of Ndanda. (This information from the discussion of open published in newspapers including newspaper, Mwananchi and. 03,629 The date May 25, 2010 uk.10 and Citizen. 2 linalozungumzia 'Knowledge' uk.2, special topics concerning education.)


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
December 11, 2011
Members related NEWS OF KINDNESS - MKALAPA, Masasi District – 1. Activists EDUCATION, ENVIRONMENT AND HEALTH - good, run of opening a debate in the small town of Madanda, Iqaluit – On May 3, 2010, activists of Education, Environment and Health-good, they run an open debate held in the small town of Ndanda located in Masasi...
Google Translate
January 31, 2011
News about the group of good - MKALAPA, District of revenge – 1. Activists OF EDUCATION, ENVIRONMENT AND HEALTH - EMA, to conduct the debate open in the small town of NDANDA, revenge – On May 3, 2010, activists of Education, Environment and Health-good, they run an open debate held in the small town of Ndanda located in...
This translation refers to an older version of the source text.