About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/ndanda/news
: English
Base
English
5. NAMNA WANA-WEMA WALIVYOWAKUMBUKA WANAFUNZI YATIMA SIKU YA MJADALA WA WAZI - NDANDA – Tarehe 03 Mei 2010 kikundi cha Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA waliendesha mjadala wa wazi katika mji mdogo wa Ndanda. Wana-WEMA waliitumia siku hiyo kukabidhi misaada kwa wanafunzi watatu ambao ni yatima kutoka katika shule tatu za msingi. Wanafunzi hao ni Genofever Kavili mwanafunziwa darasa la IV kutoka...
5. HOW STUDENTS HAVE-good WALIVYOWAKUMBUKA ORPHANS DAY OPEN discussion - Madanda – On May 3, 2010 a group of activists of Education, Environment and Health-good open debate held in the small town of Ndanda. They have used it-good day to hand over aid to the three students who are orphans from three primary schools. These students are Genofever Kavili mwanafunziwa Grade IV from Mtunungu primary school, Fatuma...
Edit
3. WANAHARAKATI WA WEMA WASHIRIKI MAONYESHO YA SERIKALI ZA MITAA – Tarehe 01 Julai 2010 Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA, walishiriki katika maonyesho ya Serikali za Mitaa yaliyofanyika kiwilaya katika mji mdogo wa Ndanda Masasi. Kikundi cha WEMA kilishiriki maonyesho hayo kwa kuonyesha baadhi ya shughuli wanazozifanya. Walionyesha baadhi ya vitabu vinavyopatikana katika maktaba yao, pia walionyesha baadhi ya miche ya miti waliyootesha...
3. Activists good PARTICIPANTS OF LOCAL GOVERNMENT Performances – On July 1, 2010 Activists of Education, Environment and Health-good, participated in exhibitions held in local government district in the small town of Masasi Ndanda. KINDNESS Group participated in this exhibition demonstrate some of the activities they do. Reflected some of the books available in libraries of them, also expressed some seedlings of trees were yootesha in the garden is...
Edit
2. MKUTANO MKUU WA MWAKA WA MARAFIKI WA ELIMU TANZANIA – Siku ya tarehe 01 Septemba 2010 hadi 03 Septemba 2010, kwenye ukumbi wa VETA Dodoma, kulifanyika mkutano mkuu wa Marafiki wa Elimu Tanzania. Mkutano huo uliitishwa na shirika la hiari la HakiElimu. Kwa mujibu wa taarifa ya waandaaji wa mkutano huo, walielezea kuwa mkutano huo ulihudhuriwa na Wanaharakati wa Marafiki wa Elimu wengi zaidi kuliko mikutano...
2. ANNUAL GENERAL MEETING OF THE FRIENDS OF THE TANZANIA EDUCATION – Day on September 1, 2010 until September 3, 2010, at VETA hall, Dodoma, was the great meeting of Friends of Education in Tanzania. The meeting was convened by the voluntary organization of HakiElimu. According to the report of the organizers of the conference, explained that the meeting was attended by activists of the Friends of Education...
Edit
4. UZINDUZI WA MAKTABA YA JAMII YA WEMA - MKALAPA – Tarehe 11 Julai 2009 iliambatana na tukio muhimu na la kihistoria katika kijiji cha Mkalapa. Kijiji cha Mkalapa kipo katika wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Kikundi cha Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA walizindua rasmi Maktaba yao ya Jamii ya WEMA ambayo ina vitabu na machapisho zaidi ya 750. – Vitabu vilivyomo kwenye maktaba ya WEMA vimechangiwa na...
4. UZINDUZI THE LIBRARY OF THE SOCIETY OF KINDNESS - MKALAPA – On July 11, 2009 was here accompanied by an important and historic event in the village of Mkalapa. Village of Mkalapa is in Masasi district in Mtwara. A group of activists of Education, Environment and Health-KINDNESS officially launched their Community Library, which has good books and more than 750 publications. – The books in the library of the...
Edit
HABARI ZINAZOHUSU WANAKIKUNDI WA WEMA - MKALAPA, WILAYA YA MASASI – 1. WANAHARAKATI WA ELIMU, MAZINGIRA NA AFYA - WEMA, WAENDESHA MJADALA WA WAZI KATIKA MJI MDOGO WA NDANDA, MASASI – Tarehe 03 Mei 2010, Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA, waliendesha mjadala wa wazi uliofanyika katika mji mdogo wa Ndanda uliopo katika...
Members related NEWS OF KINDNESS - MKALAPA, Masasi District – 1. Activists EDUCATION, ENVIRONMENT AND HEALTH - good, run of opening a debate in the small town of Madanda, Iqaluit – On May 3, 2010, activists of Education, Environment and Health-good, they run an open debate held in the small town of Ndanda located in Masasi...
Edit