Envaya

/jeanmedia/post/93578: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
upo usemi kwamba vijana ni taifa la kesho sitaki kabisa kuusikia kwani unalenga kuwarudisha nyuma vijana kimaendeleo. vijana ni tauifa la leo na siyop kesho kama wanasiasa wakongwe wanavyodai kama wakina nyerer wangesubiri kesho ati kwa wasababu ni vijana taifa lisingepata uhuru tunaojivunia leo kadhalika gadaff angesubiri leo libya isingezungumzwa hata kwenye vyombo vya habari leo. serikali na wizara zake lazima iangalie kwa kina jinsi ya kuwakomboqa vijana katika masuala nyeti kama elimu na...(Not translated)Hindura
Vijana wengi hudanganywa kwamba eti wasipofanya mapenzi katika ujana waowatashindwa kuzaa, wengine wanapotoshwa kwamab kutokufanya mapenzi kunaleta chunusi, kufanya mapenzi kunasaidia kukomaza viungo vya uzazi pia vijana wanapotoshwa kwamba wasipofanya mapenzi viungo vyao vitaziba jambo ambalo kitaalamu siyo sahihi. hali kadhalika vijana wanapotoshwa kwamba lazima wafanye mapenzi na wachumba wa kabla ya ndoa ili kuwajua vizuri.siyo siri vijana wamedanganyiak padogo kwani wanadanganywa na mambo...(Not translated)Hindura
Vijana wengi hudanganywa kwamba eti wasi[pofanya mapenzi katika ujana waop watasindwa kuzaa, kutokufanya mapenzi kunaleta chunusi, kufanya mapenzi kunasaidia kukomaza viungo vya uzazi pia vijana wanapotoshwa kwamba wasipofanya mapenzi viungo vyao vitaziba jambo ambalo kitaalamu siyo sahihi(Not translated)Hindura
PIA NAANDIKA KITABU CHANGU CHA SAFARI YA MAISHA YA KIJANA NINGEPENDA KUSHIRIKINA NA VIJANA KUTOA MAONO KWA NJIA YA SM0758051641 AU mwahalendealfred@yahoo.com(Not translated)Hindura
VIJANA KATIKA TAIFA LOLOTE LAZIMA WAFUATE MISINGI IFUATAYO; – 1.JITIHADA NA MAARIFA – 2. ELIMU NA AJIRA – 3UZALENDO NA MAPENZI MEMA NA JAMII – 4 AMANI NA UNYENYEKEVU – 5 NIDHAMU NA UTULIVU – 6 NDOTO YAKINIFU NA MITAZAMO THABITI – 7 HAKI NA MAMLAKA JUU YA UMILIKI – 8 KIPAUMBELE NA UJASILIA MALI – 9 MIKAKATI KABAMBE YA KIHARAKATI YA KUPIGA VITA UMASIKINI – 10 UONGOZI BORA(Not translated)Hindura
Katika maisha kuna ki2 kinaitwa paspective [taswira] kwa vijana walio wengi huwa hawana muono katka maisha mpaka afikwe na matatizo ndio aelewe hvy ningependa vijana wapate ilimu ya jinsia hata life skill, kwa kwel vijana kupitia ktk changamoto za baleghe huwa ni kipindi cha tabu sana lakin kini sirikali ikitowa elimu za kijami mashulen mara kwa mara basi hata matatizo yatapungua kwa kiasi kikubwa.(Not translated)Hindura
ELIMU YA STASDI ZA MAISHA. – Mimba za utotoni na utumiaji wa dawa za kulevya nchini Tanzania limekuwa ni tatizo linalokuwa siku hadi siku.Takwimu zinaonesha kuwa watoto wenye umri kuanzia miaka 9-25,ndio wanaoathirika kwa kiwango kikubwa na tatizo hili. – Mwaka 2008 katika shule ya msingi Ilagala mkoani Kigoma binti wa miaka tisa alionekana kuwa na ujauzito ,hali ambayo ilihatarisha maisha yake na kiumbe kilichokuwa tumboni.Mwaka 2006 wanafunzi 64 wa kike...(Not translated)Hindura
Add a commentTanga igitekerezoHindura
Your email:(Not translated)Hindura
Your email address will not be published.(Not translated)Hindura
Your location:Aho uherereyeHindura
%s said:%s bavuzekoHindura
(optional)(Not translated)Hindura
Publish commentHitisha igitekerezoHindura
CommentsIbitekerezoHindura