kuikomboa jamii ya wavuvi na umaskini na kuisaidia serikali kuu kufikisha maendeleo kwa haraka vijijini
Mabadiliko Mapya
sunrise development society ina mada mpya kuhusu ajira za utotono.
sudeso: ni changamoto inayowakabili wana jumuia ya sudeso kulingana mazingira yao ya baharini kisiwani. wimbi kubla watoto hukimbilia uvuvi badala ya shule.
12 Juni, 2011
sunrise development society imeongeza Habari.
Habari za kazi wapendwa? – ni jumuiya kimaendeleo sudeso.mimi naulizia tu tokea tujisajili hadi leo hakuna taarifa kutoka kwenu vp? au hatua gani tufanye ili kusukuma gurudumu la maendeleo?
12 Juni, 2011
sunrise development society imeumba ukurasa wa Timu.
MAKAME JUMA KHAMIS KATIBU – HAJI KHAMIS SHEHA MWENYEKITI – MBOJA KHAMIS JUMA MSHIKA FEDHA – PANDU KOMBO PANDU AFISA MIPANGO +255 777 454 699 – MWADINI HAMAD MWADINI KATIBU MSAIDIZI
26 Mei, 2011
sunrise development society imeumba ukurasa wa Miradi.
Jumuiya imeshafanya miradi midogomidogo ya uendeshaji na utawala wa jumuiya yakifadhiliwa na: – 1 waziri wa nchi afisi ya rais,utumishi wa umma na utawala bora na mwakilishi wa jimbo la TUMBATU ambae pia ni mlezi wa jumuiya hiyo. – 2) the foundation for civil society ya Dar es salaam mafunzo... Soma zaidi
26 Mei, 2011
sunrise development society imeumba ukurasa wa Historia.
Jumuiya ya sunrise development society (SUDESO) iliazishwa disemba 2008 na kupatiwa usajili na mrajisi wa serikali ya mapinduzi zanzibar tarehe 01-12-2009 nambari 776. – jumuiya inawanachama 30, 13 wanawake na 17 wanaume, sambamba na bodi ya wadhamini yenye jumla ya watu wa tano. – jumuiya imeshajitambulisha sehemu... Soma zaidi
26 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
zanzibar, Unguja Kaskazini, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu