Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
kuikomboa jamii ya wavuvi na umaskini na kuisaidia serikali kuu kufikisha maendeleo kwa haraka vijijini
Amakuru agezweho
sunrise development society afite ikiganiro kuri ajira za utotono.
sudeso: ni changamoto inayowakabili wana jumuia ya sudeso kulingana mazingira yao ya baharini kisiwani. wimbi kubla watoto hukimbilia uvuvi badala ya shule.
12 Kamena, 2011
sunrise development society yashyizeho Amakuru agezweho.
Habari za kazi wapendwa? – ni jumuiya kimaendeleo sudeso.mimi naulizia tu tokea tujisajili hadi leo hakuna taarifa kutoka kwenu vp? au hatua gani tufanye ili kusukuma gurudumu la maendeleo?
12 Kamena, 2011
sunrise development society yakoze Ikipe paje.
MAKAME JUMA KHAMIS KATIBU – HAJI KHAMIS SHEHA MWENYEKITI – MBOJA KHAMIS JUMA MSHIKA FEDHA – PANDU KOMBO PANDU AFISA MIPANGO +255 777 454 699 – MWADINI HAMAD MWADINI KATIBU MSAIDIZI
26 Gicurasi, 2011
sunrise development society yakoze Imishinga paje.
Jumuiya imeshafanya miradi midogomidogo ya uendeshaji na utawala wa jumuiya yakifadhiliwa na: – 1 waziri wa nchi afisi ya rais,utumishi wa umma na utawala bora na mwakilishi wa jimbo la TUMBATU ambae pia ni mlezi wa jumuiya hiyo. – 2) the foundation for civil society ya Dar es salaam mafunzo... Soma ibindi
26 Gicurasi, 2011
sunrise development society yakoze Amateka paje.
Jumuiya ya sunrise development society (SUDESO) iliazishwa disemba 2008 na kupatiwa usajili na mrajisi wa serikali ya mapinduzi zanzibar tarehe 01-12-2009 nambari 776. – jumuiya inawanachama 30, 13 wanawake na 17 wanaume, sambamba na bodi ya wadhamini yenye jumla ya watu wa tano. – jumuiya imeshajitambulisha sehemu... Soma ibindi
26 Gicurasi, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
zanzibar, Zanzibar y'amajyaruguru, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye