Envaya

mabadiliko ya tabia ya nchi. ujangili wa tembo na faru na uchafuzi mazingira hasa utupaji taka ovyo.

david boniface kaganda (moshi-kilimanjaro)
July 5, 2014 at 10:24 AM EAT

haya ndio matatizo makuu yanayoikabili nchi yetu kwa sasa. je kwanza unaelewa juu ya mada hizi? pili mchango wako ni nini kwa kile unachokijua kati ya mada hizi?


Add New Message

Invite people to participate