Envaya
/stemmuco-malihai/topic/123653
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
haya ndio matatizo makuu yanayoikabili nchi yetu kwa sasa. je kwanza unaelewa juu ya mada hizi? pili mchango wako ni nini kwa kile unachokijua kati ya mada hizi?
(Bila tafsiri)
Hariri
mabadiliko ya tabia ya nchi. ujangili wa tembo na faru na uchafuzi mazingira hasa utupaji taka ovyo.
(Bila tafsiri)
Hariri