Injira
SAIDIA WAZEE TANZANIA

SAIDIA WAZEE TANZANIA

Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Kutetea na kushawishi uwepo wa mipango kuhusu watu wanaozeeka, wazee, na waliozeeka, ili kupata huduma kutoka serikalini na jamii inayowazunguka.Wazee kushiriki katika miradi ya kujiongezea kipato.Wazee kushirikishwa katika vyombo vya kutoa maamuzi. Kupinga uonevu wowote unaotokana na mila, desturi na imani zinazoweza kuvunja haki za binadamu.

Amakuru agezweho
SAIDIA WAZEE TANZANIA afite ubutumwa bushya mu kiganiro MIRADI KWA WAZEE.
fikiri mvugaro kutoka mwela theatre group: Hasante sana kwa mada yako na kutoa fursa katika kuchangia mada hii ya Wazee ni kweli unavyosema sisi vijana wa sasa ni tofauti kabisa na vijana wazamani ambao sasa ni wazee kumekuwa na vitendo vya unyanyasaji,ubaguzi kwa wazee utafikiri hawa wazee hakuwa vijana au sisi vijana hatutazeeka .... Soma ibindi
12 Nyakanga, 2012
SAIDIA WAZEE TANZANIA yashyize ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
28 Kamena, 2012
SAIDIA WAZEE TANZANIA yashyize envayaorg ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
Tumejiunga na shirika la envayaorg. Shirika hili limetuwezesha kutupatia ukurasa kwenye tovuti yake. Hivyo, limetuwezesha kutoa maelezo ya shughuli zetu kwa umma.
27 Kamena, 2012
SAIDIA WAZEE TANZANIA yashyize Tanzania Older People's Platform (TOP) ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
SAWATA MARA ni mwanachama wa shiriki la MTANDAO WA WAZEE TANZANIA (TANZANIA OLDER PEOPLE’S PLATFORM – TOP) ambalo wanachama wake ni mashirika 18, yanayoshughulika, na masuala ya wazee. Huwa tunashirikiana kubadilishina mawazo ya kiutendaji
27 Kamena, 2012
SAIDIA WAZEE TANZANIA hari ibyo yahinduye kuri Imishinga paje.
MRADI – LIMA ALIZETI UEPUKE UMASIKINI 1.1 Utangulizi – Shirika la Saidia Wazee Tanzania, (SAWATA MARA) kwa kushirikiana na shirika la kimataifa “HELPAGE... Soma ibindi
27 Kamena, 2012
SAIDIA WAZEE TANZANIA yongeyeho 4 Amakuru agezweho.
Wazee baada ya kupata semina juu ya Sera ya Taifa ya Wazee, Ujasiriamari na Sheria Na.1 ya mwaka 2001, ya mfuko wa bima ya Afya ya jamii iliyotolewa katika kijiji cha Nyambono Kata ya Nyambono, kwa ufadhili wa "The Foundation For Civil Society" Dar-es-salaam, Tanzania. Semina hii ilitolewa mwezi Agosti,... Soma ibindi
13 Kamena, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Mara, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye