Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Kuimarisha mfumo wa mawasiliano ya vijana kuhusu ukimwi na athali za madawa ya kulevya

kuratibu ushirikiano ubadilishaji wa habari,ujuzi uzoefu na maswala mbalimbali yanayohusu vikundi hivyo

kuwa kiungo/mratibu kati ya wanachama,uongozi na wilaya, mkoa na Taifa.

kuwa mtetezi wa vikundi vya vijana Masasi ili vipante kuwakilishwa katika nyanjazote na elimu ya ujasiliamali

kutoa mafunzo ya stadi za maisha utawala bora, sera za vijana ubunifu wa miradi

 

Amakuru agezweho
MASASI YOUTH DEVELOPMENT GROUPS NETWORK hari ibyo yahinduye kuri Imishinga paje.
MASAYODEN kwa mwaka 2010 tumeweza kufa
28 Gicurasi, 2013
MASASI YOUTH DEVELOPMENT GROUPS NETWORK yashyizeho Amakuru agezweho.
UTAMBULISHO MASAYODENni shikalisilo la kiserikali na lipo wilaya ya Masasi mkoa wa Mtwara.Shirika lilianzishwa rasmi tarehe 18/5/2002 liliundwa na vikundi 34 vya vijana toka kila kata za wilaya ya Masasi. Masayoden ilisajiliwa tarehe 13/6/2003. namba ya usajili ni S .O.NO 11980 .Shirika linafanya shughuli za vijana ngazi ya wilaya. Lengo kuu ni... Soma ibindi
26 Gicurasi, 2011
MASASI YOUTH DEVELOPMENT GROUPS NETWORK yashyizeho Amakuru agezweho.
25 Gicurasi, 2011
MASASI YOUTH DEVELOPMENT GROUPS NETWORK yakoze Amateka paje.
vijana masasi wanufaika na Foundation ni shirika liliwafadhiri Masayoden kwa mradi wa kujengea uwezo wanachama viongozi
17 Gicurasi, 2011
MASASI YOUTH DEVELOPMENT GROUPS NETWORK yasanze Envaya.
17 Gicurasi, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
masasi, Mtwara, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye