Envaya

MAISHA PA1

Kahama,Shinyanga, Tanzania

  • Kutoa elimu ya mtazamo chanya  kwa vijana wa vijijini na mijini, ili ujikwamua kimaisha kwa kutumia fursa na rasilimali zinazowazunguka.

  • Kukuza, kuendeleza utamaduni wa Mtanzania

  • Kutoa misaada ya hali na mali kwa makundi yasiyojiweza.

  • Kutoa fursa ya vijana kukutana na kubadilishana mawazo, uzoefu na ujuzi mbalimbali kupitia midahalo, semina, makongamano kupitia  sanaa ili kukabiliana na changamoto za Afrika Mashariki na Dunia kwa ujumla

Latest Updates
MAISHA PA1 added 3 News updates.
Sehemu ya harakati za taasisi ya MAISHA PA1 katika kutengeneza wimbo wa elimu ya afya ya uzazi na mapango. Read more
January 29, 2015
MAISHA PA1 added a News update.
VIDEO HII IKO HEWANI UNAWEZA KUITAZAMA ... Read more
October 23, 2014
MAISHA PA1 created a History page.
MAISHA PA1 ni taasisi iliyoanzishwa na vijana wenye taaluma mbalimbali wakiwemow walimu,wakufunzi wa ujasiriamali, wanahabari, wataalamu wa maswala ya jamii,afya na wasanii. – LENGO – kutoa elimu ya mtazamo chanya kwa jamii kuhusiana maswala mtambuka kama vile afya ya mama na mtoto, ukimwi, usalama... Read more
September 24, 2014
MAISHA PA1 joined Envaya.
September 10, 2014
Sectors
Location
Kahama,Shinyanga, Shinyanga, Tanzania
See nearby organizations