Base (English) |
English |
-
Kutoa elimu ya mtazamo chanya kwa vijana wa vijijini na mijini, ili ujikwamua kimaisha kwa kutumia fursa na rasilimali zinazowazunguka.
-
Kukuza, kuendeleza utamaduni wa Mtanzania
-
Kutoa misaada ya hali na mali kwa makundi yasiyojiweza.
-
Kutoa fursa ya vijana kukutana na kubadilishana mawazo, uzoefu na ujuzi mbalimbali kupitia midahalo, semina, makongamano kupitia sanaa ili kukabiliana na changamoto za Afrika Mashariki na Dunia kwa ujumla
|
|