Envaya

MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI

MTWARA MIKINDANI MANISPAA, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Kuwezesha kwa mafunzo na ushauri wa kuendesha miradi ya kiuchumi, kwa Waathirika na waathiriwa wa janga la UKIMWI Ili kuwa na jamii yenye afya bora na uendelevu wa Huduma kwa ujumla bila kujali tofauti za kijinsia,  pia kutoa elimu ya UKIMWI Sehemu za kazi, mashuleni na jamii kwa ujumla pamoja na kuwahudumia watoto yatima na waishio ktk mazingira magumu

Amakuru agezweho
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI yakoze Amateka paje.
UTANGULIZI – Asasi ya Mapambano Dhidi ya Umasikini na Ukimwi ni Asasi isiyo ya kiselikari na isiyolenga kugawana faida lakini inalenga kutoa ushauri wa kuendesha miradi ya kiuchumi kwa waathirika na waathiriwa wa janga la UKIMWI. Asasi hii imeanzishwa na watu wachache wanaoishi na virusi vya UKIMWI Tangu mwaka 2006 ... Soma ibindi
14 Kamena, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI yakoze Ikipe paje.
[ 1 ] MOHAMED ABDALAH MTAMA M/KITI – [ 2 ] ISSA HAMISI MTAMBO KATIBU MTENDAJI – [ 3 ] TATU SAIDI MBUNDA MHAZINA – [4 ] SOMOE SALUM MANDUNDU M M/KITI – [ 5 ] ZAINAB PETER NCHIA MJUMBE – [ 6 ] PILLI ... Soma ibindi
23 Gicurasi, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI yashyize netwo ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
18 Gicurasi, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI yashyize Society for Women and AIDS in Africa ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
18 Gicurasi, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI yakoze Imishinga paje.
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI MADUU Tunayo miradi mikuu mitatu kwa sasa – miradi hiyo ni KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGAMBOGA KIJIJI CHA MBAE KATA YA UFUKONI MANISPAA YA MTWARA – MRADI WA UFUGAJI WA MBUZI WZ ASILI WA NYAMA NA MAZIWA NA WATATU NI MRADI WA KUTOA ELIMU YA...
18 Gicurasi, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI yashyizeho Amakuru agezweho.
Mapambano dhidi ya umasikini na UKIMWI Ni shirika lisilo la kiserikali lililo anzishwa tangu mwaka 2006 na watu wachache waishio na VVU / UKIMWI wazo la kuanzisha asasi hii lilikuja baada ya kutafakari changamoto mbalambali zinazowakabili watu waishio na vvu /ukimwi ktk maisha yao kwa ujumla Hii ilipelekea kuanzishwa kwa... Soma ibindi
18 Gicurasi, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
MTWARA MIKINDANI MANISPAA, Mtwara, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye