Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
ibigo by'abafatanya bikorwa
Amakuru agezweho

Society for Women and AIDS in Africa yashyizeho Amakuru agezweho.
Hawa ni watoto yatima wanaoishi katika wilaya ya mvomero katika kata ya turian, shirika limechukua hatua ya kuwasomesha kwa sababu wanaishi na bibi yao ambaye hana uwezo wa kuwasomesha. baba yao aliye wazaa yupo hai lakini naye hajiwezi kwa sababu ni mlemavu wa miguu. Mwananchi yeyote ambaye ameguswa na hili na... Soma ibindi
14 Gashyantare, 2013
Society for Women and AIDS in Africa yakoze Korera ubushake paje.
Shirika la SOCOETY FOR WOMEN AND AIDS INA AFRICA (SWAA) linapenda kufanya kazi na watu mbalimbali wa kujitolea maeneo ya vijijini hasa wilaya ya Mvomero Wilaya hii ipo katika mkoa wa Morogoro, na kwa sasa shrika linaendesha mafunzo juu ya Haki za Binadamu hususani sheria za watoto. Elimu hii kwa sasa inatolewa katika kamati za shule, wazazi... Soma ibindi
11 Ugushyingo, 2012

Society for Women and AIDS in Africa yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Wanafunzi wa Sekondari ya Mziha wakisikiliza mragibishi akitoa elimu ya usafi na Uzazi kwa wanafunzi wa kike na wakiume mwezi wa tatu mwaka 2012 kama mpango wa kuelimisha jamii.
8 Mata, 2012

Society for Women and AIDS in Africa yongeyeho 4 Amakuru agezweho.
Mr. kervin kutoka (The Faundation For Civil Society) akiwapa maelekezo wawakilishi wa asasi ya (SWAA-MO).
13 Nzeli, 2011
Society for Women and AIDS in Africa yakoze Ikipe paje.
MUUNDO WA SHIRIKA LETU – Mkutano mkuu- kikao kinafanyika mara moja kwa mwaka – Kamati ya utendaji- kikao hufanyika kila miezi mitatu – Kamati ndogo ambazo ni ya fedha, mipango na kamati kuu inayo unganisha wenyeviti na makatibu wote wa kamati ndogo. ... Soma ibindi
12 Nzeli, 2011
Society for Women and AIDS in Africa yongeyeho 2 Amakuru agezweho.
4 Nzeli, 2011

Society for Women and AIDS in Africa yongeyeho 6 Amakuru agezweho.
Mwenyekiti wa SWAA akitoa mafunzo ya mada kuhusu elimu ya ukimwi na afya kwa mtoto wa kike katika shule ya sekondari Mnziha 2011.
4 Nzeli, 2011
Society for Women and AIDS in Africa afite ikiganiro kuri Request for financial assistance funds for construction of girls hostel in Hembeti - Mvomero Tanzania..
Prisca David. email:- swaamo@yahoo.com:
SOCIETY FOR WOMEN AND AIDS IN AFRICA (SWAA) – PROPOSAL ON CONSTRUCTION HOSTEL TO... Soma ibindi
21 Kanama, 2011

Society for Women and AIDS in Africa yashyizeho Amakuru agezweho.
kipeperushi cha shirika la SWAA kinachoonyesha nembo ya SWAA na kuonyesha picha za mafunzo ya elimu ya saikolojia kwa walezi wa watoto yatima na wale waishiyo katika mazingira magumu.
21 Kanama, 2011
Society for Women and AIDS in Africa yashyizeho constitition agace.
KATIBA – SEHEMU YA KWANZA – JINA – SOCIETY FOR WOMWEN AND AIDS IN AFRICA – (SWAA)... Soma ibindi
21 Kanama, 2011