Fungua
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI

MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI

MTWARA MIKINDANI MANISPAA, Tanzania

Kuwezesha kwa mafunzo na ushauri wa kuendesha miradi ya kiuchumi, kwa Waathirika na waathiriwa wa janga la UKIMWI Ili kuwa na jamii yenye afya bora na uendelevu wa Huduma kwa ujumla bila kujali tofauti za kijinsia,  pia kutoa elimu ya UKIMWI Sehemu za kazi, mashuleni na jamii kwa ujumla pamoja na kuwahudumia watoto yatima na waishio ktk mazingira magumu

Mabadiliko Mapya
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI imeumba ukurasa wa Historia.
UTANGULIZI – Asasi ya Mapambano Dhidi ya Umasikini na Ukimwi ni Asasi isiyo ya kiselikari na isiyolenga kugawana faida lakini inalenga kutoa ushauri wa kuendesha miradi ya kiuchumi kwa waathirika na waathiriwa wa janga la UKIMWI. Asasi hii imeanzishwa na watu wachache wanaoishi na virusi vya UKIMWI Tangu mwaka 2006 ... Soma zaidi
14 Juni, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI imeumba ukurasa wa Timu.
[ 1 ] MOHAMED ABDALAH MTAMA M/KITI – [ 2 ] ISSA HAMISI MTAMBO KATIBU MTENDAJI – [ 3 ] TATU SAIDI MBUNDA MHAZINA – [4 ] SOMOE SALUM MANDUNDU M M/KITI – [ 5 ] ZAINAB PETER NCHIA MJUMBE – [ 6 ] PILLI ... Soma zaidi
23 Mei, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI imeongeza netwo kwenye orodha yake ya Mashirika ya Ubia.
18 Mei, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI imeongeza Society for Women and AIDS in Africa kwenye orodha yake ya Mashirika ya Ubia.
18 Mei, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI imeumba ukurasa wa Miradi.
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI MADUU Tunayo miradi mikuu mitatu kwa sasa – miradi hiyo ni KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGAMBOGA KIJIJI CHA MBAE KATA YA UFUKONI MANISPAA YA MTWARA – MRADI WA UFUGAJI WA MBUZI WZ ASILI WA NYAMA NA MAZIWA NA WATATU NI MRADI WA KUTOA ELIMU YA...
18 Mei, 2011
MAPAMBANO DHIDI YA UMASIKINI NA UKIMWI imeongeza Habari.
Mapambano dhidi ya umasikini na UKIMWI Ni shirika lisilo la kiserikali lililo anzishwa tangu mwaka 2006 na watu wachache waishio na VVU / UKIMWI wazo la kuanzisha asasi hii lilikuja baada ya kutafakari changamoto mbalambali zinazowakabili watu waishio na vvu /ukimwi ktk maisha yao kwa ujumla Hii ilipelekea kuanzishwa kwa... Soma zaidi
18 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
MTWARA MIKINDANI MANISPAA, Mtwara, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu