
Maelfu ya Wanafunzi walioko shuleni nchini Tanzania hawawezi kusoma ujumbe huu. Tuungane kuwaelimisha kuwa KUSOMA... http://t.co/BRhaWpIZ

Has reading changed your life? Share your story and you could win an e-reader or camera. http://t.co/oLqGw1Qi or follow @GPforEducation

@MtengeseMlay A great opportunity for students in Tanzania, Kudos Standard Charted Bank Tanzania for this program(inspiration)

Mkuu wa Wilaya ya Handeni asambaratisha ndoa ya mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Aongoza kutibua fungate... http://t.co/Z7VVGLsK

Sisi wa bara la Afrika tunachanganya mambo katika kupata maarifa angalia lugha inayotumika kufundishia awali,msingi,sekondari,vyuovikuu

Sera inatakiwa iangalie wananchi walio wengi wanatumia Lugha ghani kisha ndio iwe lugha ya kufundishia - Dr. Martha Qorro #Marafikiwaelimu

Mwalimu anakufundisha lugha ya kiingereza mwanafunzi anatafakari na kufikiri kwa lugha ya kiswahili - Dr Lwaitama #startv #marafikiwaelimu

Kamati kwa lugha ya kikurya ni Wifi sasa fikiria uko darasani mkoa wa Mara #Marafikiwaelimu #StarTV