
Walimu waicharukia serikali; wadai serikali imepuuza amri ya Mahakama iliyotaka Serikali na Chama cha Walimu... http://t.co/oUBz3aLb

Sehemu ya Pili ya Kipindi cha Mwalimu ni Nani kitakachoruka hewani ITV kesho saa 1 kamili Usiku http://t.co/D9JNNkwK
MWALIMU NI NANI (Sehemu ya Pili)
Kipindi hiki cha Tafakari Time kinachotengenezwa na Shirika la HakiElimu kinachobeba mada ya Mwalimu ni Nani? , huu ni mwendelezo (sehemu ya 2) ya kipindi kinachomzungumzia Mwalimu. |
From:
Haki Elimu
Views:
0
![]() ![]() ![]() ![]() ![]() 0
ratings | |
Time: 00:53 | More in Nonprofits & Activism |

Hii ndiyo sehemu ya kipindi cha Tafakari Time kilichopokea maombi mengi ya wadau kirudiwe ! http://t.co/fpJl0yxi
TAFAKARI TIME - MWALIMU NI NANI.
Sehemu ya kipindi cha Tafakari Time kinachotayarishwa na Shirika la HakiElimu, kipindi hiki kinamzungumzia Mwalimu na Taaluma ya Ualimu kwa Ujumla |
From:
Haki Elimu
Views:
9
![]() ![]() ![]() ![]() ![]() 0
ratings | |
Time: 00:54 | More in Nonprofits & Activism |

@njamason Inasikitisha siasa zimetawala katika jambo hili , wamefanya jaribio la kuwapima, waliobainika baadhi wako shule baadhi wamesimama

Wakazi wa dsm mnategemea nini kama nyie wenyewe hamshughuliki na maendeleo ya watoto wenu? http://t.co/DxsPoGlT #ChangeTanzania #Uwajibikaji

@Hakingowi @jmkikwete @BernardMembe @tonytogolani @pkallaghe @RNMsuya @JMakamba Vitendo hivi vya kinyama vinastahili adhabu kali kutoa funzo