Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Tunaungana na wadau wote wa tasnia ya habari nchini kuomboleza kifo cha Mhariri wa gazeti la Jamboleo, Ndugu... http://t.co/0g73iGS1
Comments (0)
@pbcloudsfm wanafunzi wanaenda shule hawajaoga kasheshe jumatatu siku ya usafi@barbarahassan #majidsm
@mammarison kushiriki katika vikao mbalimbali vya maendeleo ya shule ili kujadili mikakati ya kuinua taaluma hapo #okoaelimuarusha
OKOA ELIMU : Marafiki wa Elimu Arusha Mpo ? Harakati za ukombozi zinahitajika hapa... http://t.co/dM6aYEOf
Jitihada zinahitajika kuinyanyua shule hii, marafiki wa elimu Arusha mko wapi? http://t.co/8zqN2lMI
Watoto wakosa vipindi darasani kwa uhaba wa maji
| watoto ambao wanasoma shule ya Msingi Iwalanje kata ya Ijombe wilaya ya Mbeya wakitoka kuchota maji wakati wenzao wakiwa katika vipindi madarasani leo |
| Picha na blog ys Fransis Godwin |
