Log in
ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

Masasi, Tanzania

Jumla ya wanavikundi 20 wanaotoa huduma za wagonjwa majumbani

HBC attendants, wamepatiwa mafunzo ya rejea ya huduma zao

ili kuboresha stadi zao. Hii inafuatia mafunzo ya msingi waliyopatiwa

mnamo mwaka 2006. Ni matarajio ya asasi kuwa utendaji wao utaboreka

na kuleta manufaa kwa jamii wanazozihudumia.

September 2, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.