Envaya

Aasi yetu ya Epa ukimwi kwa kipindi cha June hadi July itakuwa inaendesha mafunzo ya awereness kwa makungwi na mangariba na manyakanga wa kata za Sululu, Mbonde na Namajani. Hiii ni kutokana na hitaji hilo katika kipindi hiki ambapo shughuli za unyago na jando ndiyo msimu wake. Jumla ya washiriki 33 wanatarajiwa kupatiwa mafunzo hayo na nyenzo za kuwasaidia.

21 Juni, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.