Kuiwezesha jamii ya kitanzania katika njia shirikishi kutambua matatizo waliyonayo na kupanga mikakati ya kukabiliana nayo na kuitekeleza kulingana na rasilimali zilizopo.
Lengo ni kuijenga jamii bora ya kitanzania kiafya, kielimu, kiuchumi na kiutamaduni, katika utawala bora, jinsia pamoja na mazingira kulingana na maleongo ya milenia na sera za kitaifa.
Mabadiliko Mapya
Dhahabu Arts Group (DAG) imehariri ukurasa mkuu.
16 Januari, 2011
Dhahabu Arts Group (DAG) imehariri ukurasa wa Timu.
Emma Julius Medda - Mwenyekiti – Hussein Wamaywa - Katibu Mtendaji – Frank John Mariki - Mweka Hazina – Bob Roberts Marshal - Mkuu wa Idara ya Filamu & Mahusiano
14 Januari, 2011
Dhahabu Arts Group (DAG) imeumba ukurasa wa Historia.
Dhahabu Arts Group ni Shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa mwaka 2002 na baadae kusajiliwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na... Soma zaidi
14 Januari, 2011

Dhahabu Arts Group (DAG) imeongeza Habari 3.
Dhahabu Arts Group ni taasisi ya kijamii isiyolenga kupata faida binafsi yenye lengo la kuona siku moja jamii ya kitanzania inakuwa bora katika sekta za Afya, Elimu, Uchumi na Utamaduni. – Ili kutimiza malengo haya, Dhahabu hufanya kazi na wabia mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Kwa sasa inafanya kazi zaidi na The Foundation for... Soma zaidi
5 Januari, 2011
Dhahabu Arts Group (DAG) imeumba ukurasa wa Timu.
Emma Julius Medda - Mwenyekiti – Hussein Wamaywa - Katibu Mtendaji – Frank John Mariki - Mweka Hazina – Bob Roberts Marshal - Mkuu wa Idara ya Filamu & Mahusiano
5 Januari, 2011
Sekta
Sehemu
Dar es Salaam, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu