Kuiwezesha jamii ya kitanzania katika njia shirikishi kutambua matatizo waliyonayo na kupanga mikakati ya kukabiliana nayo na kuitekeleza kulingana na rasilimali zilizopo.
Lengo ni kuijenga jamii bora ya kitanzania kiafya, kielimu, kiuchumi na kiutamaduni, katika utawala bora, jinsia pamoja na mazingira kulingana na maleongo ya milenia na sera za kitaifa.
Amakuru agezweho
Dhahabu Arts Group (DAG) yongeye amakuru kuri paje ibanza.
16 Mutarama, 2011
Dhahabu Arts Group (DAG) hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
Emma Julius Medda - Mwenyekiti – Hussein Wamaywa - Katibu Mtendaji – Frank John Mariki - Mweka Hazina – Bob Roberts Marshal - Mkuu wa Idara ya Filamu & Mahusiano
14 Mutarama, 2011
Dhahabu Arts Group (DAG) yakoze Amateka paje.
Dhahabu Arts Group ni Shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa mwaka 2002 na baadae kusajiliwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na... Soma ibindi
14 Mutarama, 2011

Dhahabu Arts Group (DAG) yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Dhahabu Arts Group ni taasisi ya kijamii isiyolenga kupata faida binafsi yenye lengo la kuona siku moja jamii ya kitanzania inakuwa bora katika sekta za Afya, Elimu, Uchumi na Utamaduni. – Ili kutimiza malengo haya, Dhahabu hufanya kazi na wabia mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Kwa sasa inafanya kazi zaidi na The Foundation for... Soma ibindi
5 Mutarama, 2011
Dhahabu Arts Group (DAG) yakoze Ikipe paje.
Emma Julius Medda - Mwenyekiti – Hussein Wamaywa - Katibu Mtendaji – Frank John Mariki - Mweka Hazina – Bob Roberts Marshal - Mkuu wa Idara ya Filamu & Mahusiano
5 Mutarama, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
Dar es Salaam, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye