Envaya

large.jpg

14 Januari, 2011
« Iliyotangulia

Maoni (3)

Baadhi ya Wajumbe wa kamati za Maendeleo za Kata Manispaa ya Kinondoni pamoja na wananchi wakiwa katika picha ya pamoja baada kufanya mdahalo uliojadili namna ya kuboresha elimu ya Msingi na Sekondari Mkoani Dar es salaam Machi 2010.
16 Januari, 2011
Dhahabu hongereni sana kwa kazi nzuri mnayoifanya. Kwakweli mna kila sababu ya kupongezwa na kuungwa mkono.
27 Februari, 2011
Elizabeth Mwazuma (Dar es salaam) alisema:
Naiona kazi ya mikono yenu DAG! Hakika inafurahisa sana.
25 Julai, 2013

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.