Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

    Mwezi wa 12 chuyodo iliweza kupata mashelfu na mafunzo  ya siku mbili kutoka kwa Book Aid International kupitia mradi uliobwa na mjukiza ,hata hivyo tumeweza kusambaza barua za wito kwa masheha ,wabunge na wawakilshi wa shehia ya chumbuni

   kutokana pia na kujishuhulisha na maktaba tumeweza kupokea vitabu vya fani mbalimbali kutoka maktaba kuu ya zanzibar ambavyo vinasaidia kwa kiasi kikubwa katika maktaba yetu.

     pia tumeweza kuandika barua ya maombi katika idara ya mawasiliano na lesseni iliyipo mwanakwerekwe  kwa ajili ya kuomba eneo la ardhi lililopo karibu na karakana kuu lakini kwa bahati mbaya tumekosa eneo hilo,hata    hivyo tulifanya juhudi    ya kuongea na mlezi wa jumuia ambae ni sheha wa shehi ana kutuambia tusubiri mpaka itakapo kamilika upitishaji wa waya za umeme unaotokea kidatu na kuangalia nafasi iliyowazi ili kupewa kwa kujengea ofisi

 Vilevile vikao vya kila mwezi vimeweza kuamua kwamba tuombe  kupitia mashirika ya nyumbani mfano ZANTEL,BENKkwa ajili ya  kutununulia kiwanja kilichopo karibu na ofisi yetu kwa ajili ya kuboreshwa kwa jumuia yetu ambapo hadi hivi sasa tunasubibi majibu kutoka mashirika hayo

   pia chuyodo imeweza kuandika mradi kipitia 'the foundation for civil sosiety' kwamara ya mwanzo kwa ajili ya kuijengea uwezo jumuia ya chuyodo ambapo hadi hivi sasa tunasubiri majibu kutoka kwao

mwezi waferbuary chuyodo iliweza kuunga uhusiano wa karibu na jumuia ya 'zanzibar youth foram iliyopo mlandege na kufanya mazungumzo mafupi katika ofisi ya chuyodo na mwenyekiti wa jumuia hiyo

  mwezi huohuo chuyodo ilipata fomu ya maombi ya mafunzo kwenye shirika la FEES lililopo jijini dares salam kwa ajili ya mafunzo ya uongozi kwa muda wa mwaka mmoja  ambapo mitihani ya majaribio ilifanyika umoja wa walemavu ambapo katika watu 30 kwa zanzibar walipatikana watu kumi akiwemo mwenyekiti wa chuyodoambae ni laila abdalla mansour  na kutakiwa kuhudhuria mafunzo tarehe 30 na 31 katika jengo la fees upanga dares salam

 

19 Werurwe, 2012
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.