Envaya
Wakihabima imeanza mwaka 2016 kwa kuanzisha mpango wa utoaji elimu ya ufahamu wa sheria kwa jamii. Mafunzo hayo yatafanyika kwenye kata ya Mwenge Mtapika ambapo jumla yawashiriki 20 watasajiliwa. Aidha mafunzo ya utetezi wa haki za wanawake yataanza mwezi April kwenye kata ya Nanganga. Huko washiriki 15 watapatiwa stadi za utetezi wa haki hiyo ni kwa mujibu wa msimamizi wake Paralegal Mwinda Mkwamba.
March 31, 2016
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.