Injira
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

Tandahimba Sokoine, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Hii ni Nembo ya Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI)

large.jpg

Ndg. Hassan Luheko Mnaute, Mwenyekiti wa Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI)

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT (OLAI) kwa sasa imekuwa mdau mkubwa wa sekta Ardhi kwa kutoa Elimu ya sheria Na. 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999. OLAI akiwa mwanachama wa Haki-Elimu Tanzania, iko katika harakati za kuwasaidia wanafunzi wa shule za sekondari ambao hali ya maisha ni duni, kuchangia kulipa ada kwa mwaka mmoja. Hatua hiyo, inachukuliwa baada ya Olai kutambua kuwa Elimu ni ufunguo wa maisha. Tunaomba Asasi mbalimbali kutuunga mkono jambo hili, ili kuona azma hii ya OLAI inafanikiwa. Mawasiliano:- P.O BOX 62 TANDAHIMBA, Mobile: 0788 715 532 /0654 269 456, Email: olaitandahimba8@gmail.com Tovuti: envaya.org/olai

large.jpg

Kushoto ni mratibu wa mradi Ndg. Hassan Luheko Mnaute, kulia ni Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT (OLAI) Ndg. Salum Said Mnaguluta.

large.jpg

Kushoto aliekaa ni Mratibu wa mradi Ndg. Hassan Luheko Mnaute, na aliesimama ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Tandahimba Mh. Ally Nalinga Ndingo akifunga mafunzo yaliyoandaliwa na OLAI kwa ufadhili wa The Foundation.

large.jpg

Washiriki wa mafunzo ya Sheria ya Ardhi Na. 5, wakiwa kwenye ukumbi wa chakula Februali 2014

large.jpg

Miongoni mwa washiriki wa mafunzo, wakiwa katika makundi ya majadiliano kuhusu mada zilizoongelewa na wawezeshaji.

large.jpg

OLAI huwa inatekeleza miradi yake kwa kuyashirikisha makundi yote wakiwemo wakemavu. Waonekanao ni miongoni mwa walemavu washiriki katika mafunzo ya sheria ya Ardhi mwaka 2012, CHAUME wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara~Tanzania.

large.jpg

Kushoto ni mwandishi wa habari wa gazeti la majira Ndg. Godwin Msalichuma, akiwa kwenye ukumbi wa mafunzo ya sheria ya Ardhi yaliyoandaliwa na OLAI kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society, Februal 2014.

large.jpg

Washiki wa washar/mafunzo ya sheria ya Ardhi Na. 5 vijiji ya mwaka 1999 na kanuni zake za mwaka 2002, yaliyoandaliwa na OLAI kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society. Mafunzo yaliyohusha kata 5 za Mkwiti, Ngunja, Litehu, Luagala na Nambahu katika wilaya ya Tandahimba Mkoa wa Mtwara-Tanzania