Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Kushoto aliekaa ni Mratibu wa mradi Ndg. Hassan Luheko Mnaute, na aliesimama ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Tandahimba Mh. Ally Nalinga Ndingo akifunga mafunzo yaliyoandaliwa na OLAI kwa ufadhili wa The Foundation.
July 31, 2014
Comments (2)